Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
Mimi nashindwa kuelewa kwa nini walimu wanaofundisha shule za msingi na kidato cha nne wanachukuliwa wale waliopata alama za chini?
1.Grade A:Mwalimu aliepata divisio iv ya pts 28 anachaguliwa kuwa mwalimu,atamuandaa vipi mwanafunzi wakati mtu huyu uwezo wake sio mzuri?
Kwa nn tusiangalie mifumo ya kuchukua walimu kama ilivyo kwenye taasisi za elimu ya juu?
1.Grade A:Mwalimu aliepata divisio iv ya pts 28 anachaguliwa kuwa mwalimu,atamuandaa vipi mwanafunzi wakati mtu huyu uwezo wake sio mzuri?
Kwa nn tusiangalie mifumo ya kuchukua walimu kama ilivyo kwenye taasisi za elimu ya juu?