Nafikiri ukisoma between the line, asingependa kuingizwa strori za label nyingine wakati yeye anatambulisha mambo yake. Kila Mtu anajua wameshamalizana kwa nini kuingiza hizo stori, matokeo yake ni kuhamisha malengo ya interview yenyewe.
Kuna Wamauziki wengi Duniani hukwepa aina hiyo ya maswali...
Wakenya wengi waliopo hapa wapo kwenye formal sector, na ukiwa kwenye formal sector angalau una makaratasi. Watanzania waliopo Kenya hasa hapo Gikombaa markets ni wengi sana na wanaishi bila 'makaratasi' kwa miaka mingi, kwa hilo nawapa kongole Wakenya kwa kukaa na Ndugu zetu bila tatizo kwa...
Sijaangalia hiyo video, ila najua hiyo sumu Mzee wetu kawamezesha wengi na akijua ni uongo. Sijui ina tija gani!! Isanga family kama ulikuwa unaamini mfumo wa namba umeanzishwa na Marehemu Kighoma Malima basi chanzo chake ni Mzee wetu hata kama ulisikia hilo mwanzo kutoka kwa mwingine. Mzee...
Mimi sijazungumzia Dini kabisa. Kwa nini udhani hivyo. Kaka mkubwa kamaliza darasa la saba 1982/83 na walitumia namba. Kighoma Malima alikuwa Waziri wa Elimu Mwaka gani? Sisi wengine tukiwa pembeni tumesoma hapa JF na watu wakathibitisha mfumo wa namba ulianza kabla ya Mzee Kighoma Malima.
Hapana. Mfumo wa namba hakuanzisha Malima. Mwaka kuna Kaka zetu wamefanya mitihani hiyo kwa namba kabla ya Malima. Ni uongo aliokuwa anaeneza Mohammed Said, na hapa JF mjadala huo ulishawahi kuwapo na ikathibitika hivyo.
Mzee Mohammed mjanja sana anapotia sumu, kwanza jambo kama hilo atalisema...
Mhhh!! Juu huko umesema kabla ya benki kuanzishwa huwa wanaweka deposit BOT, ndiyo ni kweli, lakini ni kiwango kisichozidi bilioni 10. Sasa kwa benki kama Exim, Crdb kiwango hicho hakitoshi kulipa Wateja benki ikiwa benki itafirisika hata kama utaweka na faida yao. Na mpaka benki kufirisika...
Ni ukweli ambao wengi wanauruka. AI ni nzuri sana kama wewe mwenyewe 'akili zimekaa sawasawa'. Ndiyo maana ni rahisi sana kugundua copy za AI kwa Mtu kwa sababu mara nyingi 'hazifanani' na mhusika kabisa. AI inatakiwa ikusaidia tu na si mbadala wa akili yako.
Ila Wabongo wana cha ziada...
Hili ni tatizo kubwa. Brela wao wameweka landline (TTCL-na wanajua si watu wote wamezoea code 07 au 06) na kuna wakati utasubirishwa kwa kipindi kirefu.
Taasisi nyingine utapiga simu (landline) lakini itajibiwa line imezuiwa. Email ndiyo usithubutu.
Changamoto nyingine; Taasisi wanaandika...
Sasa Mkuu kama kosa limefanyika na ninyi hamna pingamizi na usimamizi wa Mirathi kwa nini msisamehe yapite ili mahakama ihitimishe hili suala. Kwangu naona haina nongwa kwa sababu ni suala la kupotezea tu kwa sababu kosa limeshafanyika. Mumsainie maishe yaendelee.
Wakati unaenda vitani 1978/79 ukiwa na umri wa miaka 23. Fasfoward 2026 unalipwa ukiwa na miaka 70. Si mbaya kuliko kukosa!! Vipi na wale waliofariki, familia zao zitalipwa?
Naona kwa bahati mbaya mijadala hii inapendwa hata na Watawala pasipo kujua kuwa ni rahisi sana kwa 'adui' kutumia udhaifu huu kuwagawa Watanzania. Nani ana hakika kama anayemtukana Waislam au Wakristo kupitia mitandao kwa majina bandia ni Mtanzania. Kwa sababu ni kwa bahati mbaya sana Imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.