Upo Bongo property ipo Marekani, average rent fee kama Usd.300,000, hapo unasubiriwa na kodi, insurance, management fee, maintenance!! Lakini kwa eneo hilo ukiweka investment itakupa return maradufu. By the way kuna Wachina na wageni wengine wananunua kwa gharama hiyo au chini kidogo, usidhani...