Recent content by Mwafrikaazania

  1. M

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa kwenda Masasi, Njombe na Mbeya

    Hapana, si habari ya Korosho!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa kwenda Masasi, Njombe na Mbeya

    Ina basi la usiku?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa kwenda Masasi, Njombe na Mbeya

    Wakuu Naomba kujuzwa usafiri mzuri kwa sasa (Luxury) kwenda Miji tajwa hapo juu kutoka Dar, hasa kwa basi kwenda zinazofanya safari za usiku. Asante
  4. M

    JamiiForums Tanzania Jina la Dossa Aziz Halikuwemo Katika Orodha ya Watunuliwa Medali

    Kwa nini Taasisi ambayo imepuuzwa na Waislam kujitokeze kundi kubwa la Waislam likilalamika kwa nini Kiongozi wao wa Mkoa ameondolewa (hapa sizumngumzii tuhuma bianafsi za aliyeondolewa, natazama ni kwa namna gani Tasisisi inayotajwa kupuuzwa lakini kuna Watu wengi tu wakizungumza jambo la...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jina la Dossa Aziz Halikuwemo Katika Orodha ya Watunuliwa Medali

    Mzee Mohammed, si kawaida yako ukazuka mjadala wa Bakwata kama huu kuhusu kusimamishwa uongozi Sheikh Walid na wewe usitie neno.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ijue sanamu ya David iliyochongwa na Michelangelo

    Mwaka 1501 na historia yake imehifadhiwa. Kitendo cha jiwe kukataliwa na Wasanii na kuwa kwenye mjadala kwa miaka 40 inaonyesha namna Binadamu wa huko walivyokuwa tayari na fikra kubwa. Sisi historia zetu hatukuwa na utamaduni wa kuzihifadhi kwa maandishi mpaka pale walipokuja wageni. Angalia...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Naumizwa na ujinga huu, nifanyeje? Mtu kama Balile anashindwa kujibu SWALI la Kharifani wa the CHANZO real? Hakuna kitu kibaya kama kusoma ushakuwa

    Ni muhimu na wewe kufikiria kurudi Shule. Si tusi, ni katika kuboresha taaluma yako. Usahihi wa maandishi ni sehemu muhimu katika kazi ya mwandishi wa habari).
  8. M

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Mikocheni Kwa Warioba

    Umeona hiyo location, alon Mwai Kibaki road, hiyo ni kwa mwekezaji atakayejenga ghorofa kadhaa. Ni kama ununue plot Kisutu au Kariakoo haafu ujenge ghorofa la kupangisha. Hapo ni kwa wenye msuli haswaa
  9. M

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Hii inawezekana pia, kuna wakati niikosa seat kabisa. Nilichofanya nikawa kila baada ya muda na-refresh nikiamini labda kuna Mtu amebook ndani ya dakika 45 na akashindwa au kuacha kulipia lakini hata baada ya muda huo nilikosa seat. Ajabu baadaye kiajabu wakati napitia tu nikijua sitopata kitu...
  10. M

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Niliingia kwenye mfumo kupata tiketi ya Dodoma - Dar nikakosa ya moja kwa moja na hata ya Moro-Dar. Inaeleweka kwa baadhi ya Watu ukikosa unaweza kuunga, nika-book ya Dom-Morogoro halafu haraka nika-book ya Morogoro-Ngerengere, then Ngerengere - Dar. Kote nilipata seat. Ajabu ni kuwa seat...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Mikocheni Kwa Warioba

    Upo Bongo property ipo Marekani, average rent fee kama Usd.300,000, hapo unasubiriwa na kodi, insurance, management fee, maintenance!! Lakini kwa eneo hilo ukiweka investment itakupa return maradufu. By the way kuna Wachina na wageni wengine wananunua kwa gharama hiyo au chini kidogo, usidhani...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Mikocheni Kwa Warioba

    Beverly unaenda kuweka investment gani wewe Mbongo!!
  13. M

    JamiiForums Tanzania Vitol Bahrain A.c ni partner mkubwa wa Dangote. Samia asidhani anamkomoa kujenga refinery Tanga

    Lakini tukiacha hayo unategemea Mfanyabiashara yeyote atoe pesa wapi zaidi ya mikopo na IPO. Mradi wa refinery unahitaji muda mrefu. Mradi wa Nigeria ni top ten Duniani na investment ya 20billion siyo jambo dogo. Tafuta mradi wowote wa 20billion Usd Duniani kama unaweza kuchukua chini ya miaka...
Back
Top Bottom