Recent content by Mwafrikaazania

  1. M

    JamiiForums Tanzania Harmonize; Sitaki kusikia eti wasafi na Diamond ndo wamenitoa kimuziki

    Nafikiri ukisoma between the line, asingependa kuingizwa strori za label nyingine wakati yeye anatambulisha mambo yake. Kila Mtu anajua wameshamalizana kwa nini kuingiza hizo stori, matokeo yake ni kuhamisha malengo ya interview yenyewe. Kuna Wamauziki wengi Duniani hukwepa aina hiyo ya maswali...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kutufungia ofisi za Uwakala Dodoma si sawa, mnatakiwa ku-deal na Watu wa mabasi, sisi kazi yetu ni uwakala tu

    Kwa hiyo ofisi zote za makole zimefungwa!!?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na Watanzania nilipowaonya hapa JF kuhusu Rais Ruto wa Kenya hamkunielewa, ila naamini sasa mtanielewa vizuri tu

    Wakenya wengi waliopo hapa wapo kwenye formal sector, na ukiwa kwenye formal sector angalau una makaratasi. Watanzania waliopo Kenya hasa hapo Gikombaa markets ni wengi sana na wanaishi bila 'makaratasi' kwa miaka mingi, kwa hilo nawapa kongole Wakenya kwa kukaa na Ndugu zetu bila tatizo kwa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wasira: Kuna watu wanadhani Zanzibar inapendelewa kwenye Muungano

    Mboba Tanganyika huwa inakwepwa sana!!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

    Sijaangalia hiyo video, ila najua hiyo sumu Mzee wetu kawamezesha wengi na akijua ni uongo. Sijui ina tija gani!! Isanga family kama ulikuwa unaamini mfumo wa namba umeanzishwa na Marehemu Kighoma Malima basi chanzo chake ni Mzee wetu hata kama ulisikia hilo mwanzo kutoka kwa mwingine. Mzee...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

    Mimi sijazungumzia Dini kabisa. Kwa nini udhani hivyo. Kaka mkubwa kamaliza darasa la saba 1982/83 na walitumia namba. Kighoma Malima alikuwa Waziri wa Elimu Mwaka gani? Sisi wengine tukiwa pembeni tumesoma hapa JF na watu wakathibitisha mfumo wa namba ulianza kabla ya Mzee Kighoma Malima.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

    Hapana. Mfumo wa namba hakuanzisha Malima. Mwaka kuna Kaka zetu wamefanya mitihani hiyo kwa namba kabla ya Malima. Ni uongo aliokuwa anaeneza Mohammed Said, na hapa JF mjadala huo ulishawahi kuwapo na ikathibitika hivyo. Mzee Mohammed mjanja sana anapotia sumu, kwanza jambo kama hilo atalisema...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Ndivyo Benki Hutumia Pesa Zako

    Mhhh!! Juu huko umesema kabla ya benki kuanzishwa huwa wanaweka deposit BOT, ndiyo ni kweli, lakini ni kiwango kisichozidi bilioni 10. Sasa kwa benki kama Exim, Crdb kiwango hicho hakitoshi kulipa Wateja benki ikiwa benki itafirisika hata kama utaweka na faida yao. Na mpaka benki kufirisika...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Dodoma yamsimamisha wakili Kachenje kwa kutumia Akili Unde iliyopotosha kesi alizonukuu

    Huwa unauliza 'napendwa kweli':cool::cool::cool::cool: Hili swali la tupike nini sipendi niulizwe na Mke! Asante
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Dodoma yamsimamisha wakili Kachenje kwa kutumia Akili Unde iliyopotosha kesi alizonukuu

    Ni ukweli ambao wengi wanauruka. AI ni nzuri sana kama wewe mwenyewe 'akili zimekaa sawasawa'. Ndiyo maana ni rahisi sana kugundua copy za AI kwa Mtu kwa sababu mara nyingi 'hazifanani' na mhusika kabisa. AI inatakiwa ikusaidia tu na si mbadala wa akili yako. Ila Wabongo wana cha ziada...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ofisi za serikali zinaweka namba ambazo hazipatikani, Nilishasema tangu zamani Miafrika inashida fulani sio bure

    Hili ni tatizo kubwa. Brela wao wameweka landline (TTCL-na wanajua si watu wote wamezoea code 07 au 06) na kuna wakati utasubirishwa kwa kipindi kirefu. Taasisi nyingine utapiga simu (landline) lakini itajibiwa line imezuiwa. Email ndiyo usithubutu. Changamoto nyingine; Taasisi wanaandika...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu amegushi muhtasari wa ukoo wa mirathi

    Sasa Mkuu kama kosa limefanyika na ninyi hamna pingamizi na usimamizi wa Mirathi kwa nini msisamehe yapite ili mahakama ihitimishe hili suala. Kwangu naona haina nongwa kwa sababu ni suala la kupotezea tu kwa sababu kosa limeshafanyika. Mumsainie maishe yaendelee.
  13. M

    JamiiForums Tanzania 1998 radi iliua timu nzima ya Moira Congo lakini timu pinzani ikatoka salama

    Kwa hiyo unataka kusema Tresor Mandala anawezakukugeuza kuwa kunguru!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Responded Mwigulu Nchemba: Maveterani wa Vita ya Kagera wataanza kulipwa mwaka huu wa fedha

    Wakati unaenda vitani 1978/79 ukiwa na umri wa miaka 23. Fasfoward 2026 unalipwa ukiwa na miaka 70. Si mbaya kuliko kukosa!! Vipi na wale waliofariki, familia zao zitalipwa?
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nini kimesababisha mchango wa Waislamu katika harakati za siasa za mapambano Tanzania kuwa ukipungua ?

    Naona kwa bahati mbaya mijadala hii inapendwa hata na Watawala pasipo kujua kuwa ni rahisi sana kwa 'adui' kutumia udhaifu huu kuwagawa Watanzania. Nani ana hakika kama anayemtukana Waislam au Wakristo kupitia mitandao kwa majina bandia ni Mtanzania. Kwa sababu ni kwa bahati mbaya sana Imani...
Back
Top Bottom