Haya mambo yakutaka kuitana ofisini sijui kumuogopa mtu kisa ni waziri wakati anapuyanga kazi na waathirika ni sis wananchi wa hali ya Chini yamepitwa na wakati. ....mbona sis wafanyakazi wa kawaida tukikosea tunaambiwa hadharani? ? Tena nahisi JPM aongeze ukari
U jus quote me wrong broh. !!nadhan utawala uliokuwa nyenyekevu,makini na shirikishi ni uliopita na hili wengi tunajua. ..but watu walilalamika sana na ikafika wakawa na hata hamu ya kuwa na kiongozi dictator. ..mungu si athuman jamaa huyu hapa. ....kuhusu madini kaanza na hili la mchanga coz ni...
Kwahiyo mkuu unadhani hatua hii iliyochukuliwa. ..unadhani Rais anahadaa umma for what? ? Kama Ana hadaa for how long will t last? ? Jamaa now hatafuti Kiki ili umpigie kura. ..anayatimiza yale aliyoyaahidi na anayodhani yanatija kwa watanzania makabwera ambao ndio wengi. ..kiufupi hata kama...
Nadhani yale mambo ambayo upinzani walikuwa wakiyapigia kelele enzi na enzi jamaa anaanza kuyapigania. ..ukweli ni kwamba katika kuyapigania tukubali kama nchi iliyokua imelala kuwa we have to incur the cost for the mistakes we have done past. ...ishu ni kwamba tumeamua kusonga mbele basi...
Dah! !?what a dumb nation like this? ? Rais anapigania mikataba ya madini ikae sawa watu eti wanamsikilizia ajikwae? ?tuwe na huruma kwa vizazi vyetu vijavyo guys we are too much selfish
Dah. ....hivi wa tz mnajua tusipomsapoti sizonje mungu atatuadhibu? ?maana kilikua kilio cha kila mmoja juu ya mikataba ya madini. ..sasa naamini alietuloga alishakufa maana sijawahi ona nchi ambayo Rais anaewaza maendeleo ya nchi kila kuchwao anapingwa vita na wanachi haohao. ..dah Eee mwenyezi...
Hawa jamaa wanaojiita usalama wa taifa wapo bado usingizini. .....kazi yao ya msingi waliisahau tangu enzi za mkwere. ...kimsingi walitakiwa wawe wamemwagika pale kibiti muda mrefu...anyway polisi wanamzigo mkubwa sana. .....nchi nyingine likitokea tatizo kama hili vyombo vya ulinzi na usalama...
Mkuu hakuna kwenye mambo ya inteligensia polisi walijikita huko kitambo. ..tofauti na unavodhaini. ..jeshi limebase sana kwenye military inteligens kitu ambacho wakiapply kibiti basi wamefail asubuhi ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.