Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Thubuutuuuuuuu!!!Anyway mtawapeleka lini mahakamani acacia kidai fidia ya wizi huo mnaodai??
Thubuutuuuuuuu!!!Anyway mtawapeleka lini mahakamani acacia kidai fidia ya wizi huo mnaodai??
Mkuu hapo kila report inajitegemea hivyo wangetoa kwanza hiyo tuliyotangaziwa kwa mbwembweHuenda wanasubiri na report ya kamat ya pili
Hawana tofauti na BashiteSeries ya vyeti imeishia hewani!!! Sasa ni zamu ya series ya michanga!! Hizi CD ngoja nimpe mtoto achezee tu!
Mkuu huko usiguse kabisa bado tunahitaji na kufurahia michango yako humu jfUnaambiwa ni kama vile taarifa ya kifaru cha jeshi !
Hekima kwanzaIli iweje? Taifa la wapiga domo ndio sababu hawa wazungu walituona mazuzu. Sasa kajitokeza mtu wa anayechukua hatua lakini bado waswahili wanata kuendelea kulalamika. Laana mbaya sana hii.
Sio kila kitu lazima uone weweMara baada ya Raisi Magufuli kukabidhiwa ripoti ya watumishi waliokuwa wanatumia vyeti feki,muda mfupi baadae soft copy ya ripoti hiyo ikiwa na orodha ya majina hayo ilianza kusambaa mitandaoni na kesho yake ikatoka kwenye magazeti.
Sasa hii ripoti kuhusu huu mchanga wa dhahabu mbona mpaka sasa hawajatoa hata full soft copy?
Niwaambie tu ndugu zangu, binafsi sitashangaa kuona hii ripoti ikiishia katika makabati ya pale magogoni na tusiisikie tena.
Kama kuna mwenye nayo naomba kupatiwa link.
Sikushindi wewe. Maana hata hueleweki unaaka nini katika hiki kinachoendelea. Kuwa na akili yako usifuate mkumbo.Wewe ni mnafiki tu!
Ipo acha mihemukoMara baada ya Raisi Magufuli kukabidhiwa ripoti ya watumishi waliokuwa wanatumia vyeti feki,muda mfupi baadae soft copy ya ripoti hiyo ikiwa na orodha ya majina hayo ilianza kusambaa mitandaoni na kesho yake ikatoka kwenye magazeti.
Sasa hii ripoti kuhusu huu mchanga wa dhahabu mbona mpaka sasa hawajatoa hata full soft copy?
Niwaambie tu ndugu zangu, binafsi sitashangaa kuona hii ripoti ikiishia katika makabati ya pale magogoni na tusiisikie tena.
Kama kuna mwenye nayo naomba kupatiwa link.
HiyoIpo acha mihemuko
Hii ni summary na sio full report!Hiyo
Mara baada ya Raisi Magufuli kukabidhiwa ripoti ya watumishi waliokuwa wanatumia vyeti feki,muda mfupi baadae soft copy ya ripoti hiyo ikiwa na orodha ya majina hayo ilianza kusambaa mitandaoni na kesho yake ikatoka kwenye magazeti.
Sasa hii ripoti kuhusu huu mchanga wa dhahabu mbona mpaka sasa hawajatoa hata full soft copy?
Niwaambie tu ndugu zangu, binafsi sitashangaa kuona hii ripoti ikiishia katika makabati ya pale magogoni na tusiisikie tena.
Kama kuna mwenye nayo naomba kupatiwa link.
Wataalamu huwa wskipewa kazi yenye masilahi ya kisiasa huwa wsnakuwa wanasiasa tu.Nina wasiwasi na utaalamu wa watu waliofanya ule uchunguzi na pia kama wali-consult wadau wote muhimu katika uandaaji wa hiyo ripoti kabla ya kuitoa.
Naona kibaraka wa edo unakata mauno thread yote......endelea kutafuna pesa za fisadi ila ikulu ataishia kuiona kwenye luninga tuuUnadhani kila mtanzania ni kilaza kama wewe?
Naona kibaraka wa edo unakata mauno thread yote......endelea kutafuna pesa za fisadi ila ikulu ataishia kuiona kwenye luninga tuu
Lema huwa anawaambia kila siku...angalieni nchi sio matumbo yenu.Mimi naunga mkono hatua alizochukua Pombe ili liwe fundisho kwa bunge ccm kutopitisha sheria za wawekezaji wa maliasili zetu hovyo hovyo. Maana wanaumbuka kwa sasa ni mibunge ya ccm kwa uwingi wao