Katika nyakati za kutaka kujikomboa kulikuwa na watu weusi ambao walikuwa ni wasaliti kwa ndugu zao. Ukiangalia kwa ndani zaidi utagundua kuna watu wa upande fulani ndio walikuwa wakiwasaidia wazungu katika kuwakandamiza watu weusi.
Tuachane na hadithi za wahenga.
Chinua Achebe kwenye...
Kengele sio adhana. Kengele ni ishara ya kuita watu kwenye mkusanyiko aidha wa dini au katika taasisi za elimu.
Adhana inavigezo vifuatavyo-
1. Lazima imtaje Mungu na ukuu wake.
2. Itoe shahada ya Mungu Mmoja
3. Shahada ya Utume wa Muhammad
4. Lazima iwaite waislam wakamuabudu yule aliyewaumba...
Adhana inamtukuza Mwenyezi Mungu kwa kutaja Ukuu wa Mungu.
Baada ya kutaja Ukuu wa Mungu kinachofuata ni kutanabaisha na kushuhudia kuwa hakuna Mungu mwingine isipokuwa yeye tu.
Kisha inashuhudisha kuwa SAW ni Mtume wa Mwenyezi Mungu.
Kisha adhana inatutaka tusimamishe sala katika kumuabudu...
Shetani anapenda mambo maovu. Ingekuwa amekaa na shetani nadhani Quran ingesema "ikaribieni zinaa" lakini Quran inasema "zinaa ni uchafu" na mzinifu mwanaume akizini mara moja basi kama ni mwanandoa basi mkewe ataziniwa mara kumi zaidi. Kazi kwenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.