komanyahenry
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 903
- 1,352
Hii nyumba nimeikuta maeneo ya buseresere, jamaa kajenga hiyo nyumba akaamua kuweka icho kitanda chumbani
Rotate picha/kifaa chakosijanyaka bado kwa kweli
Mkuu Habari, wewe ni geologist au engineer?Maengineer au geologist hatufanyi vitu vya kipumbavu kama hivyo..
Nadhani hao ni manyokaa
Kwani ni vipi mkuu..? Awamu hii ...?Mkuu Habari, wewe ni geologist au engineer?
Haha hapana kuwa na amani... Nina shida ndio maana nataka nijue upo upande upi hapoKwani ni vipi mkuu..? Awamu hii ...?
PM please.Haha hapana kuwa na amani... Nina shida ndio maana nataka nijue upo upande upi hapo