Uingie kama mzalendo. Ukiingia kwa ajili ya kufaidika utakuwa umepotea njiaDah kaka! mbona wanajeshi wengi hawana maendeleo,unalichukuliaje hili.........!!!
Uingie kama mzalendo. Ukiingia kwa ajili ya kufaidika utakuwa umepotea njiaDah kaka! mbona wanajeshi wengi hawana maendeleo,unalichukuliaje hili.........!!!
Je akiingia kwa uzalendo na pia kufaidikaje?Uingie kama mzalendo. Ukiingia kwa ajili ya kufaidika utakuwa umepotea njia
Wengine wanaipenda hiyo kazi na wanaifanya kwa moyo wote PESA SIO INAYOWAFANYA KUPENDA KUFANYA KAZI JESHINI ndg yangu. Kama unataka kutajirika tuu, JESHINI SI MAHALA SAHIHI.Uhenye JKT,Msata,Monduli then ukalipwe milioni moja na uhuru wako uuze
Si bora ufungue genge
Jeshi sio ndoto yake, hataliweza. Ameongea target zake kuwa ni ukosefu wa ajira na pia malipo ni kiasi gani, bila shaka sio ndoto yake kuvaa gwanda bali ajira na mshahara.Miaka ya hivi kribuni jeshi limekuwa likiajiri sana wanataaluma wenye shahada.Fatilia na ikibidi fika wizarani mwenyewe ukapate maelezo ya kina.Nina imani unaweza ukatokea jeshini na ukatimiza ndoto zako.
duuuuh, jamaa amekimbia JKT intake ya juzi ? hatari sana huu usawa.Jamaa yangu mmoja kaenda batch hii ya juzi kakutana na wana kibao na bachelor
Kaamua kutoka nduki,tupo naye sasa hivi kimtaa
Hivi hii ni kweli mkuu!Utapawe nyota moja halafu wanakuloga ufe
duuuuh, jamaa amekimbia JKT intake ya juzi ? hatari sana huu usawa.
Alikuwa na elimu ganiNoma mzee baba. Ameingia kambini amekutana na wana kibao na degree zao wakaanza kumcheka. Ngoma ngumu
Alikuwa na elimu gani
Mmmmmmh NI NOMA KWELBEng in Civil
BEng in Civil
Hakuna fresh graduate mwenye mshahara mkubwaa kumzid mwanajeshHiyo mishahara mnayoitaja jeshi lingejaa degree holders maana kuna wagumu wanasanda mtaani na degreezao
digirii yako ni ya nini? kuna digirii nyingine dili jeshini na nyingine balaa! mie nilitoroka na digirii yangu pale kunduchi dar mwaka 2007. kabla sijakushauri nijulishe digirii yako kwa sababu jeshini ndio kwetu, upo mura!
Yani ukitoka TMA uwe na u captain aisee mbona unadanganya?Ukimaliza mafunzo ya awali ya Kuruta miezi 9 unaenda moja kwa moja Monduli kusomea Uofisa wa jeshi ukimaliza unalamba mawe matatu yaani unakua Captain
Jeshi la kipekee sana unaweza ukawa na phd na usiwe officer na ukaingia zamu na kushika siraha kama kawaida.na kila cheo kina kozi kama uafisa ni mwaka mmoja pale monduliWakubwa mbona nimeskia skuhizi nyota hazipewi kizembe hata kama una elimu yakoo ni mpaka uende kozi.?????
Kuna ukweli gan hapo.???? Maana namimi ni mhanga wa hizi nafasi nazisubir kwa hamu sana.
Jeshi la kipekee sana unaweza ukawa na phd na usiwe officer na ukaingia zamu na kushika siraha kama kawaida.na kila cheo kina kozi kama uafisa ni mwaka mmoja pale monduli