Watanzania wenzangu, sijui kama kweli mnanufaika ipaswavyo na hili shirika letu. Limebaki kuwa shirika la kuandaa mashindano ya insha mashuleni yaani upande wa biashara mimi naona ni upuuzi mtupu.
Mfano: Nmekuwa nikiagiza vitu toka China na nchi nyingine za Asia kwa mitandao ya Ali express na...
Poleni kwa majukumu watanzania wenzangu,
Naandika uzi huu kama mtanzania niliyeguswa na hali mbovu ya kiusalama katika shule hiyo hapo juu ambayo iko Tanga mjini karibu na soko la samaki la deep sea lakini pia naandika uzi huu kama mzazi ambaye naona mambo hayaendi vema sehemu hiyo.
Hiyo shule...
ACHENI KUDANGANYWA!!!!
kilichotokea hapo,
1. Pasta anachana shati lake matobo sehemu tofauti kwa msumari na kuyatanua au mkasi pia ukiwemo
(tazameni hayo matundu sio ya risasi kwa anayejua risasi)
2.Pasta baada ya kuchana hayo matundu anakwenda sehemu ya mbali iliyojificha na kulishambulia gari...
kumbe bado kuna uchaguzi tanzania?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] God save my lungs[emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.