Recent content by Muungano2

  1. M

    Updates: Mbowe, Mbatia, Lipumba wamesema Ukawa hawatarudi BMK!

    ukifikiria kwa mapana ukawa ndyo sababu yakutosonga mbele kwa majadiliano ya rasimu ya katiba.Mjinga pekee ambaye anaweza fikiri kuwa rasimu iliyopendekezwa na tume ya warioba ingepitishwa tu kama maji mtaroni basi wabunge wangekuwa wote wapumbavu na ingekuwa bure kuchaguliwa kwao na matumizi...
  2. M

    Kikwete atunukiwa tuzo ya demokrasia Afrika

    Tutambua Kuwa Hata Ukibeza You Nothing Like Flying Air! Mi Nafikiri Amestahili Anamchango Wa Pekee! Mtu Ananyanyua Kinywa Kutukana Serikali Na Anatembea Alafu Unabeza Hajakuza Democrasia. Hebu Watanzania Tuepuke Ushabiki Wa Kiamla Au Kigaidi! Mtu Akitenda Chema Mpongeze Hata Kama Siyo Wa Chama...
  3. M

    Huyu dada anatafutwa na ndugu zake

    Ucjal Ndugu Yangu Utampata Tu! Bt Kigoma Sehem Gani Na Jamaa Anatokea Huko Anaweza Saidia Na Mamake Ni Mwalimu!
  4. M

    Madhara ya kutumia condoms

    asprn acha uchokozi! utavamiwa!
  5. M

    Ametembea naa wanawake watatu akitafuta mtoto wa kiume

    Pole Sana! Lakini Ni Rahisi Sana ! Ukitaka Ani Pm Ntampa Maelekezo Ataza Hata 4 Mfululizo
  6. M

    Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

    Tambua Ni Padre! Kama Unatambua Vema Kikanisa Ukisha Padre Umejifungia Sakramenti Ya Ndoa Huna Tena! Mpaka Leo Sijui Nin Kilimfanya Asimimishwe Upadre Namashaka Alikuwa Anagoma Goma Sana Kuongozi Misa Maana Ndyo Slogani Yake Wazo Lake Lisipokubaliwa Tu Tuandamane! Zaidi Kitendo Cha Kudai Kama...
  7. M

    Diamond atajwa kuwania tuzo moja na Ice Prince & Yaya Toure

    Kayamani! Diamond Ni Kijana Wa Tanzani Naamini Atafanya Kitu! Nani Alijua Spain Ingefungwa 5 Au Brazil 7'kwa Wasanii Tanzania Diamond Namba Moja ! Anatambua Wajibu Wake Na Nin Anapaswa Kufanya.Mm Naamini Atayaangusha Makatapila Namwombea Ashinde
  8. M

    Prof Muhongo songambele Kazi hii haina mfano

    Kweli Prof Muhongo Jembe! Sijui Kama Angepewa Miaka Mitano Ingekuwaje
  9. M

    Wassira akacha mdahalo ulioandaliwa na ITV

    Infact Hata Mwandaaji Wa Mdahalo Umekosea! Kamwe Auwezi Mwalika Sista Au Padre Katoliki Akiri Akupe Sababu Za Martin Lvher Kujitenga! Hivyo Walioko Nje Ya Mchezo Ndo Wanaona Makosa Ya Straika.Hivyo Wote Hawana Majibu Kwasababu Wote Wanasiacha Tena Wakitokea Vyama Tofauti Na Wengine Ndo...
  10. M

    Mtaji wa pamoja kwenye mradi wa kilimo- (joint capital)

    pia na ushauri! iv sasa mazao yanavunwa nakuzwa kwa bei ndogo na baada ya miezi 3 bei itapanda! kuna sehemu ni sh30 gunia la debe 7. alafu unaenda kuuza kwa sh 350 kwa kilo moja! unaonaje wadau! tunaweza anza na hlo moja anakusanya mazao mwingne anasafirisha hata kupeleka kenya!
  11. M

    Mtaji wa pamoja kwenye mradi wa kilimo- (joint capital)

    pia na ushauri! iv sasa mazao yanavunwa nakuzwa kwa bei ndogo na baada ya miezi 3 bei itapanda! kuna sehemu ni sh30 gunia la debe 7. alafu unaenda kuuza kwa sh 35 kwj kilo moja! unaonaje wadau! tunaweza anza na hlo moja anakusanya mazao mwingne anasafirisha hata kupeleka kenya!
  12. M

    Mtaji wa pamoja kwenye mradi wa kilimo- (joint capital)

    kaka wazo nzur sana bt wengi hawawezi kuchangia ml 10 .labda tujaribu kukusanya mawazo ya wengi natuone tunaanzajae labda 5ml.
  13. M

    Lodge gani nzuri Moshi?

    kaka ungeweka na bei bt vema sana golden view ipo juu kidogo soko la kati unachukua tex 2000 mwambie akupeleke au silvar motel bei tax hyo hyo au new castel hotel! kama upo vzr nenda mosh view juu kdogo ya stand sh 70 mpaka 100 per day! karb
  14. M

    Kongamano la Maombi ya Kitaifa juu ya mchakato wa Katiba Mpya - Mchungaji Mwakasege

    siyo busara hata kidogo kudharau maombi ya wengine maana wewe hata siku moja haujaomba! usihatarishiea maisha yako! ameomba kadri Mungu Alivyomwongoza.Hii Ni Dalili Yakuwa Kundi Fulani Limeshajua Limefeli The Answer Kutukana Tu Hata Maombi.
  15. M

    Dr. Slaa: Wakorofi CHADEMA ni Wajinga

    Wadau Sisi Sote Watanzania Kuitana Wehu Wajinga Siyo Tija .Nashauri Vyama Ni Nyenzo Za Kuibana Serikali Itimize Wajibu Wake Ndo Maana Wabunge Wote Wakienda Wanapewa Shangingi Hakuna Anayegoma! Lakin Haliwazui Kuibana Serikali
Back
Top Bottom