Huyu dada anatafutwa na ndugu zake

Huyu dada anatafutwa na ndugu zake

Itakuwaje kama kweli ni ndugu yenu hata umri wake msiufahamu? Badala yake unaandika 29 - 33!!!!




Kwa mujibu wa baba, huyu dada yetu kazaliwa mwaka 1985. Ila inaonekana ni makadirio tu kwa namna baba amivyokuwa anaongea.
 
Kigoma sio kanda ya ziwa,rudi darasani ukajifunze vizuri Gepgraphy.

acha usenge ww kwan lazma uchangie? Mtu anamtafuta ndg yake ww unaleta habar za darasan. Mbona ww darasan ulifeli ? Acha kujifanya wajuaji kwenye matatizo ya wenzenu
 
Ucjal Ndugu Yangu Utampata Tu! Bt Kigoma Sehem Gani Na Jamaa Anatokea Huko Anaweza Saidia Na Mamake Ni Mwalimu!
 
kila la kheri kwa Mungu hakuna kinachoshindikana mtangulize yeye mbele utampata tu:cool2::cool2:
 
Mkuu, inawezekana kijiografia hajakosea sana. Kanda ya ziwa ipi? Victoria au Tanganyika?
Tumeshikilia kanda ya ziwa Victoria. Kumbuka kuna nchi zinaitwa za maziwa makuu na Lake Tanganyika imo katika maziwa hayo!
Officially kanda ya ziwa ni mikoa iliyo kandokando ya ziwa Nyanza (au kwa kikoloni Victoria). Ni utaratibu tu tuliojiwekea vinginevyo ukitaka kutumia tasfiri yako ya kanda ya ziwa basi itabidi Iringa, Ruvuma, Mbeya iitwe kanda ya ziwa (ziwa Nyasa) pia Rukwa, Katavi na Kigoma pia itakuwepo(Ziwa Tanganyika).

Kifupi Kigoma imewekwa kanda ya magharibi.
 
acha usenge ww kwan lazma uchangie? Mtu anamtafuta ndg yake ww unaleta habar za darasan. Mbona ww darasan ulifeli ? Acha kujifanya wajuaji kwenye matatizo ya wenzenu
Huyu jamaa pamoja na kuwa kakosea ila wewe ndio unakosea zaidi. Ungempotezea tu au kama vipi ungemweleza tu kistaarabu.
 
Officially kanda ya ziwa ni mikoa iliyo kandokando ya ziwa Nyanza (au kwa kikoloni Victoria). Ni utaratibu tu tuliojiwekea vinginevyo ukitaka kutumia tasfiri yako ya kanda ya ziwa basi itabidi Iringa, Ruvuma, Mbeya iitwe kanda ya ziwa (ziwa Nyasa) pia Rukwa, Katavi na Kigoma pia itakuwepo(Ziwa Tanganyika).

Kifupi Kigoma imewekwa kanda ya magharibi.

Mkuu, ni mazoea tu si rasmi (Official)
 
vipi alikuwa ameolewa?,au alikuwa anasoma au anapendelea mambo yepi? kwa mfano muziki,kusafiri,biashara etc au mtu wa church? au alikuwa gate kali sana?au ?,,,,:A S wink:
 
Kuna sweet moja namjua ila sijui jina la baba na anaonekana hajasoma wako kasoma uganda umemkosa huyu sweet nimjuae.
 
Kigoma sio kanda ya ziwa,rudi darasani ukajifunze vizuri Gepgraphy.

Kwani Tanganyika ni bwawa mkuu ?

Inategemea kama na yeye ana hamu ya kuungana/kukutana na huo upande wa baba, otherwise kama alikuwa anawasiliana na Shangazi mbona hakufanya juhudi zozote za kutafuta ndugu wengine baada ya kupoteza mawasiliano na Shangazi ? (incase kama hajajua Shangazi amefariki)

Otherwise kama mnamtafuta kwa wema, kila la kheri wajameni.
 
Alizaliwa Kanda ya Ziwa, inasemekana ni Mkoani Kigoma, wakati baba yake, Martin M. Mmassy, alikuwa anafanya kazi railway, Kigoma.

Mkuu, nadhani utakuwa umepotea na wewe!

Hebu tafuta mtu wa kukuanzishia thread ya kukutafuta!.. lol.
..............................................................................!
 
Back
Top Bottom