Recent content by Mutakyamirwa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dada yake Joshua Nassari avuliwa udiwani, Wabunge 7 wapendekezwa kuvuliwa nyadhifa za kwenye chama

    MTAZAMO hupo? Long time my friend! Chadema chama dume ....usitegemee upinzani kufa...though ninamashaka ka upinzani wako hautafanana na mzee wa cuf
  2. M

    JamiiForums Tanzania Waraka wa Kwaresima wa Maaskofu kutoka KKKT na Kanisa Katoliki. Ibada kuu KKKT inafanyika leo Dayosisi ya Karagwe, tega sikio.

    Nimependa hotuba yake. Anasema unaona kabisa ‘huyo anayetetea wanyonge anataka wawe wanyonge zaidi...aendelee kuongaza kwa mtaji wa wanyonge...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa TLS, Dkt. Nshala aitaka Serikali kukamilisha uchunguzi wa waliompiga risasi Lissu

    Huo ndo utawala wa sheria unavyopaswa kulindwa
  4. M

    JamiiForums Tanzania ACT-Wazalendo: Tishio la kufutwa, hatutarudi nyuma

    Nimependa ulivyomalizia hotuba yako. Ifike mwisho na tuheshimiane....sote ni watanzania na TANZANIA ni yetu. Iweje wao wajione bora na watunza amani kwa kukiuka haki za wengine? Itatokea tu kwa waliowaoga
  5. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Rais kasaini sheria mpya ya siasa na Tanzania inaenda kuwa Rwanda rasmi, ndio maana Polepole anasema vyama vingi havina maana CCM kinatosha

    Ila hawa watu sijui wanaitakia nini nchi hii. Ok let’s wait and see
  6. M

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif kaikimbia CUF lakini Wanalia CCM, Kwanini?

    Seif kawapiga chenga hatari sana. Kawafundisha upya siasa....
  7. M

    JamiiForums Tanzania Adaiwa kukamatwa kwa kuweka picha za "kudhalilisha" jimbo la Ndugai mtandaoni

    Wale wakusifu mwisho wao kuwa interahamwe tu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Adaiwa kukamatwa kwa kuweka picha za "kudhalilisha" jimbo la Ndugai mtandaoni

    Huu upuuzi. So hataki madhaifu ya Jim bibi kwake yajulikane? Cccm shida nchi hii
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

    Huyu MAGAMBA 3 anaishi? Ni mnabii wasiasa! Natembelea sana JF ila sikupta kuona huzi huu! He is a great thinker...kwa ilivyo sasa anaweza twambia 2020 nini kitatokea Bara na zaidi Zenj?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Jarida la The Economist leo limemtukana Rais Magufuli kwa kumwita FOOLISH

    Yeye anapuuza gazeti la Tanzanite kutukana na kukashifi wapinzani wake....akaphuze na hilo! Mkuki kwa nguruwe....pia nawe fatilia tanzanite kama unavyofanya kwa the economist
  11. M

    JamiiForums Tanzania The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja

    Uandishi wa Pasco bhana! Any way, nimeupenda; kwanza unachokoza mada, pili, unakuweka kwenye ‘safe side’...unapongeza kama macccm wengi wanavyotaka, tatu na nzuri zaidi hii taarifa ya the Ecomist wengi wetu hapa wasingeiona hivyo umewafungua macho na kwa aina hiiii umetimiza wajibu wako kama...
  12. M

    JamiiForums Tanzania US Department of State, Human Rights 2018 Report on Tanzania.

    Watakwambia tupo kwenye vita ya uchumi...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

    Inatiia simanzi....inatia uchungu! Hivi nyie ni binadamu wa ulimwengu upi ? Kama Mungu wa Eliiya aishivyo hamtakuwa na amani mioyoni mwenu mpaka mtubu dhambi za ukatili wenu kiasi hicho. Mnatengeneza Tanzania ambayo haijawai kuwako...mark my words..
Back
Top Bottom