Nimependa ulivyomalizia hotuba yako. Ifike mwisho na tuheshimiane....sote ni watanzania na TANZANIA ni yetu. Iweje wao wajione bora na watunza amani kwa kukiuka haki za wengine? Itatokea tu kwa waliowaoga
Huyu MAGAMBA 3 anaishi? Ni mnabii wasiasa! Natembelea sana JF ila sikupta kuona huzi huu! He is a great thinker...kwa ilivyo sasa anaweza twambia 2020 nini kitatokea Bara na zaidi Zenj?
Yeye anapuuza gazeti la Tanzanite kutukana na kukashifi wapinzani wake....akaphuze na hilo! Mkuki kwa nguruwe....pia nawe fatilia tanzanite kama unavyofanya kwa the economist
Uandishi wa Pasco bhana! Any way, nimeupenda; kwanza unachokoza mada, pili, unakuweka kwenye ‘safe side’...unapongeza kama macccm wengi wanavyotaka, tatu na nzuri zaidi hii taarifa ya the Ecomist wengi wetu hapa wasingeiona hivyo umewafungua macho na kwa aina hiiii umetimiza wajibu wako kama...
Inatiia simanzi....inatia uchungu! Hivi nyie ni binadamu wa ulimwengu upi ? Kama Mungu wa Eliiya aishivyo hamtakuwa na amani mioyoni mwenu mpaka mtubu dhambi za ukatili wenu kiasi hicho. Mnatengeneza Tanzania ambayo haijawai kuwako...mark my words..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.