Kwa mara ya kwanza tangu nimeanza kusoma mambo ya kipolisi humu jf, leo ndo nimekutana na mtu mwenye hoja zenye akili sana maana huwa naona tu kejeli na matusi kwa Polisi, mkuu yaan ww ni great thinker kweli, nataman ushauri huu waupate walengwa najua hawataupuuza
Police siku hiz nyota zao za kwanza wanapewa na Rais, kwa hiyo ni commissioned, magereza na uhamiaji bado hawajaingia ktk hiyo system, kwa hiyo hapo kidogo umedanganya umma, hawako Sawa
Elli
kwanza rekebisha kauli yako,wale sio wanajeshi kama unavyodai ww,wale ni askari ambao wako chini ya idara ya usalama wa taifa na mafunzo yao wanayapata pale chuo cha usalama wa taifa (sikwambii kilipo) siku nyingine ukipita pale wasogelee kwa karibu unaweza kuona hata tofauti ya gwanda,no...
Elli
kwanza rekebisha kauli,wale sio wanajeshi kama unavyodai ww,ni askari ambao wako chini ya idara ya usalama wa Taifa na mafunzo yao wanayapata pale chuo cha usalama wa Taifa (sikwambii kilipo) siku nyingine ukipita pale wasogelee kwa karibu unaweza kuona hata tofauti ya gwanda...no research...
riwaya kama hii inafaa kuisoma mwanzo mwisho,hv unavyoweka kamojamoja hv unapoteza kabisa radha ya mchezo,kwa nn usiweke kuanzia mbili au tatu kwa siku?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.