Lilipo Kanisa la Moravian maeneo ya Kigamboni

Lilipo Kanisa la Moravian maeneo ya Kigamboni

mgoshawampasa

Senior Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
105
Reaction score
27
Jamani mimi ni mgeni huku Kigamboni na ni muumini wa dhehebu la Moravian Kwa anayejua lilipo naomba anielekeze maana nakaribia mwezi sasa na cjaweza kusali. Ntafurahi sana nikilipata.
 
Kigamboni hakuna kanisa la Moravian, waweza kushiriki ibada ktk kanisa la Lutheran lipo stand ya mabasi ya kibada na kongowe Feri!
 
Kwa Mkristo Ikiwa Huwezi Kufika Lilipo Kanisa Lako Maeneo Hayo Unaweza Kupata Huduma Kanisa La Jirani Ikiwa Ni Kusali Tu
 
Kigamboni hakuna kanisa la Moravian, waweza kushiriki ibada ktk kanisa la Lutheran lipo stand ya mabasi ya kibada na kongowe Feri!

Nimeshafikilia kufanya hivyo lakini tatizo mama watoto wangu muislamu na anataka kubadili dini awe mkristo wa kimorovian ili mwakani Mungu akipenda tufunge ndoa na pia nataka kumbatiza mtoto wangu sasa nikiwapeleka Lutheran si watakuwa warutheri na italeta complications tena maana nyumbani wote wamorovian na nataka ndoa ifungwe nyumbani (TABORA). Sehemu ya Karibu ni wapi tofauti na Kigamboni kama Kigamboni hakuna.
 
Kwa Mkristo Ikiwa Huwezi Kufika Lilipo Kanisa Lako Maeneo Hayo Unaweza Kupata Huduma Kanisa La Jirani Ikiwa Ni Kusali Tu

Haiwezekan mkuu ..mpaka kanisa la dhehebu lako...waislam kwan ikoje??unaweza kusal msikii woote ule mkuu??
 
Nimeshafikilia kufanya hivyo lakini tatizo mama watoto wangu muislamu na anataka kubadili dini awe mkristo wa kimorovian ili mwakani Mungu akipenda tufunge ndoa na pia nataka kumbatiza mtoto wangu sasa nikiwapeleka Lutheran si watakuwa warutheri na italeta complications tena maana nyumbani wote wamorovian na nataka ndoa ifungwe nyumbani (TABORA). Sehemu ya Karibu ni wapi tofauti na Kigamboni kama Kigamboni hakuna.

mkuu kwa hoja hiyo na uzito wa jambo hilo usione tabu kuvuka upande wa pili kupata iyo huduma murua
 
Haiwezekan mkuu ..mpaka kanisa la dhehebu lako...waislam kwan ikoje??unaweza kusal msikii woote ule mkuu??

Mkuu
Inawezekana Sana Kama Umeshawahi Kutembelea Vijijini Unakuta Ni Mtumishi Hapo Halafu Dhehebu Lako Halipo Utasema Huwezi Sali?


Kwa Waislam Tunawaona Kila Siku Hasa Madereva Wa Malori Ijumaa Ikifika Muda Wa Kusali Akiona Msikiti Anasali Tu
 
Mkuu
Inawezekana Sana Kama Umeshawahi Kutembelea Vijijini Unakuta Ni Mtumishi Hapo Halafu Dhehebu Lako Halipo Utasema Huwezi Sali?


Kwa Waislam Tunawaona Kila Siku Hasa Madereva Wa Malori Ijumaa Ikifika Muda Wa Kusali Akiona Msikiti Anasali Tu

Mfamo ...mm msabato nita sali Roman kwel??
 
Kigamboni kanisa wapi na wapi ? Kigamboni ni kama Kondoa, kila mtaa wa pili kuna msikiti. Ila shule sasa, hawazipendi na hawazitaki wala hawazihitaji
 
Mfamo ...mm msabato nita sali Roman kwel??

Mkuu
Nadhani Unasimamia Ile Misingi Ya Dhehebu
Ila Utakapokwenda Kusali Ni Kuwa Utabaki Na Dhehebu Lako Tu Mpaka Hapo Utakapohiyari Kuwa Roma.


Nia Na Lengo Ni Kusali Kwa Pamoja Kama Maneno Ya Mungu Yasemavyo Wawapo Wawili Ama Watatu Wamekusanyika Kwa Jina Langu Nami Nipo Katikati Yao
 
Basi itabidi uvuke bahari ufuate makanisa hayo huku nchi kavu,Mabibo,Mw nyamala na uhuru kama lipo,wala si taabu maana hata tabora huwa tunafuata huduma hiyo toka mathalan kiloleni hadi pale milumbani!au toka cheyo mpaka isevya vilevile waweza ishi kanyenye ukaabudu moria kwahiyo hata hapa si lazima usali kigamboni tu makanisa yapo
 
Barabara ya kwenda mjimwema kupita oilcom petrostation kulia kwako I mean wanaoaita minazi mikinda lipo apo zamani walikuw wanaliita kanisa la wanyakyusa. Ulizia apo utaelekezwa.
 
...mama watoto wangu muislamu na anataka kubadili dini awe mkristo wa kimorovian...
Fanya fasta umlete kwa Yesu kabla hajabadili uamuzi, ikibidi mzalishe watoto chap chap halafu taratibu nyingine zitaendelea
 
Kigamboni kanisa wapi na wapi ? Kigamboni ni kama Kondoa, kila mtaa wa pili kuna msikiti. Ila shule sasa, hawazipendi na hawazitaki wala hawazihitaji

unaonekana ni mgeni kabisa WA kigamboni maana makanisa yapo mengi mno,aliyekusimulia alikudanganya,siku ukifika Dar jitahidi ufike kigamboni
 
Back
Top Bottom