nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,901
- 14,611
Viashiria vya uhalifu vinaonekana hata wahalifu tunawajua mienendo na mipango yao.
Lakini mpaka litokee tukio, ndio utasikia..aaah wewe ulikuwa hujui?
Hivi hili jambo huwa linasababishwa na nini?
Zamani haikuwa hivi.
Hata mgeni akiingia mtaani/ Kijijini, watu wote Kijijini/ Mtaani tulifahamu mpaka watoto wadogo walifahamu.
Siku hizi jina la mpangaji mwenzako hata hulijui,achilia mbali majirani wanaokuzunguka.
( Kuna haja ya kurudisha utartibu wa zamani)
Lakini mpaka litokee tukio, ndio utasikia..aaah wewe ulikuwa hujui?
Hivi hili jambo huwa linasababishwa na nini?
Zamani haikuwa hivi.
Hata mgeni akiingia mtaani/ Kijijini, watu wote Kijijini/ Mtaani tulifahamu mpaka watoto wadogo walifahamu.
Siku hizi jina la mpangaji mwenzako hata hulijui,achilia mbali majirani wanaokuzunguka.
( Kuna haja ya kurudisha utartibu wa zamani)