Huu uonevu wa wanajeshi Ikulu usifumbiwe macho

Huu uonevu wa wanajeshi Ikulu usifumbiwe macho

Point yangu ni kwamba, hata kama ni kosa, si suala la kumuelimisha mtu halafu unaachana nae? Unamuweka chini ya Ulinzi raia ambaye hana hata bisbisi mfukoni? Wakati wewe umeshika SMG? Huu ni uonevu usiovumilika. Naomba mamlaka zinazohusika walitolee ufafanuzi jambo hili bila kuwa biased

Niliwahi kupita na gari hapo sa kumi na mbili kasoro wakanidaka nikawaambia muda bado wakanichelewesha mpaka sa kumi na mbili wakataka kunisulubu nikawaambia akinigusa mtu ni bora aniuwe kabisa maana mh. rais lazime asikie kishindo uko ndani... Wakaniachia bila masharti...
 
Mimi huwa nawatamani wale wajeda yan cku niwe cjafanya kosa af wanizingue!yan ntajitahd nimkariri hata sura tu af nimtafute popote pale!!tutakula sahan moja!!wale jamaa waonevu sana af mbaya zaid akikosea wa ngoz nyeupe hawambugudhi!wanakera kinoma yani
 
zambez
hahaha mkuu uliwaweza!! Hivi wanajeshi nao wanakua na namba kwenye mabega kama polisi!? Maana nataman siku nimkariri mmoja afu hiyo hiyo ntahakikisha familia yake inajuta!
 
Last edited by a moderator:
Nadhani wakati umefika tuhamishe Ikulu kuipeleka mahali ambapo hakuna shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii maana sio kila Mwananchi anajua kuwa pale ni Ikulu na kuwa ni kosa kupiga kando ya ukuta wa Ikulu.

Mimi Mbona Kuna Siku Nili UKWEKA Kando Kando Ya Huo Ukuta Wao Na Sikufanywa Chochote? Huyu Ndugu Tu Ana Damu Mbaya Nao!
 
Mimi huwa nawatamani wale wajeda yan cku niwe cjafanya kosa af wanizingue!yan ntajitahd nimkariri hata sura tu af nimtafute popote pale!!tutakula sahan moja!!wale jamaa waonevu sana af mbaya zaid akikosea wa ngoz nyeupe hawambugudhi!wanakera kinoma yani
Umenikumbusha mkuu, kuna siku moja ktk barabara ya alhasani mwinyi, maeneo ya red cross, walikuwa wana mescort mwamunyange, mbele ilikuwa imetangulia gari ya mps, saasa kulikuwa na foleni ya kufa mtu, wao wanapiga king'ora kwa mbele kulikuwa na v8,wanaipigia kelele ili ipishe,

jamaa hapishi, wakateremka kwa hasira e bwana wakaenda kufungua mlango kwa nguvu, wanakutana na bonge la mzungu liko linaonngea na simu tu, ikabidi waufunge haraka na kuondoka!! na kuanza kusogeza magari ya upande mwingine, Ndio tukajiuliza kama yule angekuwa mswahili, ilikuwa balaaa!!! Ukoloni bado upo tu hata tufanyeje.
 
Mimi huwa nawatamani wale wajeda yan cku niwe cjafanya kosa af wanizingue!yan ntajitahd nimkariri hata sura tu af nimtafute popote pale!!tutakula sahan moja!!wale jamaa waonevu sana af mbaya zaid akikosea wa ngoz nyeupe hawambugudhi!wanakera kinoma yani

Kwani Wewe Hujui Kuwa Ngozi Nyeusi Ni Full Nuksi Na Laana? Nitafutie Kitabu Chochote Cha Dini Unayoijua Wewe Duniani Kuna Picha Ya Mtu Black. Uweusi Una Maana Nyingi Sana Tena Hasi Duniani Na Ili Uweze Kuamini Mtafute Mwalimu Mzuri Wa Psychology Uliyenae Karibu Atakudadavulia Vizuri. Unadhani Wazungu Wanakosea Kutudharau? Kama TUNAWEZA Kufanya Mambo Ya KIPOPOMA Kabisa Unategemea WASITUDHARAU Watu WEUSI?
 
Elli

ukicheka na nyani utavuna mabua. wakirushwa kichura hawatakuja kurudia tena na itakuwa mfano kwa wengine. msg inakuwa sent. watanzania wagumu sana kuelewa, bila nguvu hawaendi. safi sana wanajeshi.
 
Last edited by a moderator:
Ukitoka wizara ya Elimu kuja huku kwenye Jengo La Feri au wanaiita soko la samaki...
Si kweli. Hii iliyotaja inatumika na public pia. Bila hivyo wanaoenda wizara ya elimu,chuo cha utumishi wa umma, ofisi ya waziri mkuu nk wapite wapi? Inayokatazwa-tena ni kuanzia saa 12 jioni mpaka 12asubuhi- ni ile ya ocean road kule nyuma ya ikulu inayo ambaa na bahari.
 
Elli

kwanza rekebisha kauli,wale sio wanajeshi kama unavyodai ww,ni askari ambao wako chini ya idara ya usalama wa Taifa na mafunzo yao wanayapata pale chuo cha usalama wa Taifa (sikwambii kilipo) siku nyingine ukipita pale wasogelee kwa karibu unaweza kuona hata tofauti ya gwanda...no research no right to speak!!!
 
Last edited by a moderator:
Si kweli. Hii iliyotaja inatumika na public pia. Bila hivyo wanaoenda wizara ya elimu,chuo cha utumishi wa umma,ofisi ya waziri mkuu nk wapite wapi? Inayokatazwa-tena ni kuanzia saa 12 jioni mpaka 12asubuhi- ni ile ya ocean road kule nyuma ya ikulu inayo ambaa na bahari.
Mpwa wangu asante kwa kusoma hata hivyo sijui ukweli au uongo ni upi, maana hakuna sehemu niliosema wamekatazwa kupita, ukisoma vizuri nilichokiandika kwenye main thread nimesema pengine ni KUSIMAMA, KUTEMBEA, KUPITA..... naomba usime tena.

Hapo iliponi-quote nilikua namjibu mpwa wangu mwingine aliyeuliza eneo la tukio ni wapi hasa!
 
Elli

kwanza rekebisha kauli yako,wale sio wanajeshi kama unavyodai ww,wale ni askari ambao wako chini ya idara ya usalama wa taifa na mafunzo yao wanayapata pale chuo cha usalama wa taifa (sikwambii kilipo) siku nyingine ukipita pale wasogelee kwa karibu unaweza kuona hata tofauti ya gwanda,no research no right to speak!!!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha Mpwa Musomakwetu Mwana jeshi ni nani kwani? Jeshi la Polisi, Jeshi la Wananchi, Jeshi.. Hao wote ni askari! Sasa sijui ambaye hana right ya kuongea ni wewe au ni mimi. By the way, msisitizo hauko kwa wanajeshi bali kwenye adhabu zitolewazo. Hata wangekuwa ni akina nani, it is not fair kumpa adhabu mtu ambaye hana hata fimbo mkononi mwake, huo ni uoga na kutojiamini.
 
Last edited by a moderator:
niliwahi kupita na gari hapo sa kumi na mbili kasoro wakanidaka nikawaambia muda bado wakanichelewesha mpaka sa kumi na mbili wakataka kunisulubu nikawaambia akinigusa mtu ni bora aniuwe kabisa maana mh. rais lazime asikie kishindo uko ndani... wakaniachia bila masharti...

Kama si amini vile....labda ulikutana na KK SECURITY au GROUP 4 wanaolinda ocean road hospital hao wa Ikulu moto mkali ndugu yangu.Na kwa nini mupite hiyo barabara...naelewa mlipita saana wakati wa Nyerere lakini unatakiwa uelewe nyakati zinabadilika....kama unataka panda ferry kaisubiri mbele kidogo.
 
Huu ni uonevu mkubwa sana na ujinga, upumbavu uliokithiri. Siku zote vitendo vya wajinga ni manyanyaso. Hivi hao wanajeshi sijui polisi wakiwaeleza watu kuwa hapa hakuna njia watakufa? Faida ya kuwarusha kichura ni ipi? Mnapata faida gani. Naomba mnijibu maana najua mpo sana humu jf. Mnapata nini? Mtapungukiwa na nini kumweleza mtu kwa upole kuwa hapa mtu haruhusiwi kupita,

sio hakuna njia maana bado barabara ipo, njia ipokila mwaka ikulu inatengewa fedha nyingi za ukarabati wajenge ukuta hadi kwenye maji kufunga hiyo njia hapo na hilo eneo. Hivi mnafikiria adui atajia hapo mnaporusha watu kichurachura? Sawa usalama ni mzuri lakini nashauri wawekwe watu wasomi wenye elimu zao wanaojua nini maana ya ulinzi wa rais. Si tunaona huku mtaani mgambo wanapokuwa wamepewa sehemu wasimamie, full misifa kama wao ni watu wa kipekee duniani
 
Hawawezi kutolea ufafanuzi , hivi hukumsikia yule mh aliposema Bungeni akiwaagiza askari wapige raia . Siku tukichoka wataipata fresh yao .
 
Lile soko walifunge wawatafutie soko sehemu ingine.
Watumie Usalama wa Raisi kama kigezo basi litafungwa tu.

Ila Raia nao unajua kabisa pale ni Ikulu wapita kufata nini. Mimi nina miaka hata nimesahau rangi ya ukuta wake

kumbe raia hawaruhusiwi kupita ikulu??!!
 
Kama si amini vile....labda ulikutana na KK SECURITY au GROUP 4 wanaolinda ocean road hospital hao wa Ikulu moto mkali ndugu yangu.Na kwa nini mupite hiyo barabara...naelewa mlipita saana wakati wa Nyerere lakini unatakiwa uelewe nyakati zinabadilika....kama unataka panda ferry kaisubiri mbele kidogo.
mkuu nilichosema ni ukweli na ninakuhakikishia kingetokea kishindo kikubwa sana....
 
Elli

Pole mkuu ila hao vijana unaowaona pale ikulu sio JW bali ni TISS. Kumbuka hayo makombati ni sare za TISS na si JW.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom