Jaman wapenzi watazamaji wa vyombo vya habari (TV), Ni kwa nini nyimbo za DIAMOND PLATNUMZ hazipigwi kwenye EATV??. Kiukweli huwa nashindwa kuelewa. Hata kwenye vile vipindi vya "Top Ten na Bongo Hits" ambavyo kimsingi hugusa wasanii wengi wakali sijaona. Tatizo nini au anakosea wapi??
Majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.