DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Mnasubiri nini kuamua ?
Utakuwa watu wapumbavu kama nyie ndio mnategemewa mumpe rais ushauri.
Utakuwa watu wapumbavu kama nyie ndio mnategemewa mumpe rais ushauri.
Jambo la msingi ni kulipa deni.Morning wapenda maendeleo wote..
Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana
1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..
2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..
Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..
So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..
Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa.
Kwaiyo wataka kushindana na SA??Morning wapenda maendeleo wote..
Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana
1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..
2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..
Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..
So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..
Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa.
Msitafute Mchawi Lipeni 9.5B za S.A.A kama Vipi mwambieni LOYA Msomi ALIBETO MUSANDO alilipe deni kwa niaba ya RAHITHI hahaaaa Deni limekuja wakati muhafaka sana kulipwa na ALIBETO.
Tanzania kuna watu wanataka kuigeuza iwe taifa wanamoishi mifugo. Ni kusweka tu. Ukienda huko duniani wanaishi binadamu waliostaarabika na wanajua sheria na katiba. Nyie mnaotamani kuchunga watu kama mifugo mtanyooshwa tu mpaka mke sawa.Uzuie SAA isitue Nchini for which grounds ?
Wao hawajazuia ndege yetu kutua SA,wameenda Mahakamani ku Seize ndege ili walipwe.
Na Pia wala hawajamtumia Kiongozi wa Juu Serikalini Bali wameenda Mahakamani.
Rule of Law
Dawa ya Deni ni kulipa
Halafu aliyewadanganya kuwa Kiongozi wenu Mkuu wa Serikali neno lake ndio Sheria anataka kuwapeleka nyie Wananchi msiojitambua,Mbumbumbu,Nyumbu,kuishia kuwa na nchi kama Zimbabwe
Wale wanafuata sheria. Siyo matamko ya zero brain kama huku uswahilini kwenu.Nakuunga mkono. Yani pamoja na kuwaonyesha makaburi kule Mazimbu. Wanakamata ndege yetu tfna kwa kideni cha zamani.
Nyie ndiyo wale hamlipi Dawasco mpaka mkatiwe.Hapana napinga, hatuwezi mudu Vita na AK, kama wanatudai tutalipa kusawazisha na kuendelea kutua AK, sisi ni alpha male na siyo weak male!
Kwa ubavu upi mlionao?Huna sababu za msingi za kuzuia SAA...labda tutumie mabavu kama kawaida yetu
Nonsense...!!Morning wapenda maendeleo wote..
Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana
1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..
2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..
Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..
So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..
Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa.
Hiyo kwa kidhungu ambacho kinawapa taabu sana inaitwa "Knee jerk reaction"; kwa kifupi ni maamuzi ya kukurupuka, kwani ukamate ndege yao unawadai kitu gani au hasira za nyegere?Morning wapenda maendeleo wote..
Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana
1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..
2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..
Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..
So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..
Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa. 😡😡😡
Kama anamdai Atcl kwa nini wakamate ndege za serikali kama unaamin SAA sio serikali
Mara mkulima mara SAA!Morning wapenda maendeleo wote..
Ingekuwa mm ndio kiongozi wa juu serikalini kabisa, dawa ya SAA waliozuia ndege yetu ni rahisi sana
1: Hakuna SAA kuruhusiwa kutua hapa Tanzania..
2: SAA wakija hapa ndege yao tunakamata na kuitaifisha..
Sbb za msingi ni hii hapa.. Wakati SAA wana ubia na ATCL michezo michafu sana walicheza na kuweka fake bills hasa za matengenezo ya ghali na matengenezo yalifanyika huko SAA katika hangars zao.. Bills za hivyo ni uwizi mkubwa, sbb mbia mmoja ndio anakufanyia maintenance alafu anakupiga juu kwa juu kwa bills za ajabu..
So serikali ikifanya hivyo, SAA hakuna kuwapa kibali cha kuja hapa Tanzania na akija ni kukamata ndege yao..
Hapo watatia adabu nawaambia na hasara watakayopata ndio watajifunza. Sbb kila siku SAA wanakuja Dar, sasa ni wakati wa kuwatia adabu, ASAP serikali cancel kibali cha SAA kuja hapa Tanzania. Yaani ingekuwa mimi, wangenikoma SAA wasingesahau maisha yao yote Tanzania ni nchi ya aina yake. Futa kabisa kibali cha SAA kuja hapa, haraka kabisa.