Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,606
- 46,245
Kwa nini isiwe kwa Le Mutuz kupitia Malecela?
Kikwete na makamba sr
Kikwete na makamba sr
Kanzu ni vazi la Mashariki ya kati, kanzu haimaanishi Uislam.anavaa kanzu ili kuuaminisha uma kwamba ye ni mwislamu.hakjui kwamba ule utaratibu akitoka mkristo anakuja muislam ushakufaga kifo cha mende
Hahahaa....... Wenyewe wanadai 2025 wameshamuandaa Jaffo!anavaa kanzu ili kuuaminisha uma kwamba ye ni mwislamu.hakjui kwamba ule utaratibu akitoka mkristo anakuja muislam ushakufaga kifo cha mende
Naona unakabidhiana ofisi na Simbachawene ukiwa umepiga picha mbalimbali ukijaribu kuonyesha tabasamu la usoni, moyoni ukiwa umejaa simanzi.
Nasema hivi kwa kua mimi na wewe tunafahamiana barabara,kiukweli umeumia sana.
Anyway piga konde moyo,ndio maisha hayo,ulijaribu kuwashusha wenzako ili wewe upande ,hatimaye umeshuka wewe,yote ni kazi ya mungu,na tuseme Amen View attachment 1161513
Connections ndiyo zilimuweka hapo, siyo uwezo
Zama za watoto wa kina fulani zinaanza kutoweka,ni uwezo wa mtu binafsi ,si mbereko
Jamaa huwa haeleweki kama ni muislamu au mkristo. Lakini baada ya awamu hii kuwa mkristo anajinasibisha na Uislamu. Siku hizi anavaa sana kanzu na kofia na kuhudhuria shughuli za kiislamu. Anajua utaratibu wa kupokezana utampa Urais. Ana uchu mkubwa sana wa Madaraka makubwa ya kuongoza nchi.anavaa kanzu ili kuuaminisha uma kwamba ye ni mwislamu.hakjui kwamba ule utaratibu akitoka mkristo anakuja muislam ushakufaga kifo cha mende
ila aliyewekwa anauwezo?Connections ndiyo zilimuweka hapo, siyo uwezo
Kuna tuhuma huwa anakula macho ya watuIla huyu brother kwa upande wa afya hua simuelewi elewi au labuda macho yangu sijui!!
Mfate kamulizeee mwenyeweMbona hujaiweka ile anachekelea sana sana?
Uoga wa nini sasa?
Jamaa sio mzuri na hajiamini, anamambo ya kishamba sana, majuzi alitaka kumharibia Mzee Mwinyi kwa kuwa anamahusiano mazuri na Magu lakini mzee wa watu akamchamba live.January ana mambo ya kufikirisha; kwa mfano hivi kwa nini kaamua kwenda kukabidhi ofisi akiwa amevaa mavazi haya? Nafikiri ana maana yake!!!
Mshikaji wako halafu unakuja kum-snitch humu anonymously!?
Fvck friends!
Hili ni neno moja(one word) au ni 'mcharazo'?Wewelinakuhusunini?
Acha ujinga ww,kwani kanzu ndo uislam?mbona hata wachungaji huvaa kanzu nao wamekufa kifo cha mende?Anavaa kanzu ili kuuaminisha uma kwamba ye ni mwislamu.hakjui kwamba ule utaratibu akitoka mkristo anakuja muislam ushakufaga kifo cha mende