Wabongo bwana unamsaidia mtu akifika kazini anazoea kazi anabweteka
mi kuna mtu nilimuunganishia kazi miezi miwili ya mwanzo alifanya vizuri baada ya kuzoea kazi akaanza kubweteka anafanya vile anajisikia akaiingizia kampuni hasara kubwa akafukuzwa sasa lawama ananitupia mimi hadi najuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.