PONDA mbioni kuachiwa

PONDA mbioni kuachiwa

Status
Not open for further replies.
mtotowamjini kwetu sie anafaida kubwa mno kuliko wewe ambaye huna maana. Maisha ya gereza ni mapitio tu kwa wote wenye kudai haki hivyo si kudhalilika. Tuna msubiri kama shujaa wa mwaka na atapewa support timilifu. karibu sheikhe kila la heri tunakuombea
 
msemakweli-ni bora kukaa jela kwa maslahi ya watu na haki kuliko kubaki uraiani kwa upumbavu na dhuluma. Ukiwa mdai haki uje haya ndo maisha -kwa mtu mwoga na mdhulumuji kama wewe utaogopa maisha ya jela tu
 
masopa -hiyo ajali unayomwombea ukipate wewe tena sasa hivi, ila usife bali ukatike miguu na mikono uwe tegemezi la nguvu,
 
Hata akitoka, selo kakaa! Thats what i wanted, period! Kesho kutwa ni siku nyingine tena ya ibada ya wenzetu, cjui nini kitatokea!
 
Aliyekwambia anafanya uchochezi ni nani? Kudai haki ndo uchochezi? Kwa nini usiwandame bakwata wanaosababisha haya kwa kuuza mali za waislam kwa maslahi binafsi? kama wewe huna uchungu na mali za imani yako, basi pole-pakajimmy

Mbona mnapigania kuishi duniani milele!!! jichunguze sana upstairs kwenye hili neno "mali za waislam"
hizo mali zimepatikanaje mpaka kuwa za "waislam"
unipe maelezo ya kina tafadhali ili nipate kujua kama kuna siku hizi zinazoitwa "mali za waislam" zilishushwa kutoka mbinguni wakakabidhiwa.
 
kwa taarifa zilizopo huyu ponda sio mtanzania nakuja kufanya uchochezi na kukimbilia kwao huyu ni mkongo
 
karakana za UONGO NA UZANDIKI KAZINI unatudanganya wewe wasimulie hizo hadithi ya bulicheka wanao na mkewe wakati mnaota moto mnasubiri ugali.
 
Ponda ataachiwaje wakati anataka kuleta ugaidi nchini na kuifanya amani yetu itoweke? Sisi hapa Tanzania hatutaki magaidi. Hakuna haja ya kumwachia Ponda. Mwacheni afie gerezani
Hii ni dunia tu. Wewe ukipewa dhamana ukaona kuwa kupitia dhamana hiyo unaweza kufanya ubabe,we fanya lakini ukumbuke kesho kuna kuulizwa mbele ya Muumba wa mbingu ardhi na kila kilichomo. Siku zote mti wenye matunda ndio hupopolewa mawe. Kiuzalendo alichofanyiwa ni dhuruma hana kosa lakufanya asipewe dhamana.
 
Bt malengo yametmia kalia sikukuu gerezani! Chezea serikali yetu wewe!

Ponda kulia gerezani Idi si tatizo bali anazidi kuimarika kiakili, kimwili na kula idi na wafungwa wenzake gerezani kwa kuwapa moyo wa subira!!

Hata Sharif hamadi alikaa sana gerezani bila ya dhamana lakini leo yuko wapi!
Mzee mandela alikaa miaka 25 gerezani lakini leo ni nani? nyinyi mnadhani viongozi wenu wa Chadema wataweza kuukwaa Urais kiulaini bila ya kuishi gerezani!

Ponda ndio huyooo anatoka Gerezani lakini ndio amezidi kuwa maarufu na Mnyika wa Ubungo ajitayarishe kukabidhi jimbo kwa Mheshimiwa Ponda 2015!!
 
Wamebana mwishowe wataachia tu. Hawana ubavu wa kubana maisha.
ubavu wanao...tena si watu wazuri kabisa hawachelewi kukutoa uhai kama wenyewe waliwekeana sumu unategemea nini
 
Ponda kulia gerezani Idi si tatizo bali anazidi kuimarika kiakili, kimwili na kula idi na wafungwa wenzake gerezani kwa kuwapa moyo wa subira!!

Hata Sharif hamadi alikaa sana gerezani bila ya dhamana lakini leo yuko wapi!
Mzee mandela alikaa miaka 25 gerezani lakini leo ni nani? nyinyi mnadhani viongozi wenu wa Chadema wataweza kuukwaa Urais kiulaini bila ya kuishi gerezani!

Ponda ndio huyooo anatoka Gerezani lakini ndio amezidi kuwa maarufu na Mnyika wa Ubungo ajitayarishe kukabidhi jimbo kwa Mheshimiwa Ponda 2015!!
Sometimes is not fair kuilaumu CCM kwa umaskini uliotamalaki hapa Tanzania kama nchi hii ndio imeacommodate watu wajinga kama wewe, wewe ni mfu ungali hai.
 
Ponda kulia gerezani Idi si tatizo bali anazidi kuimarika kiakili, kimwili na kula idi na wafungwa wenzake gerezani kwa kuwapa moyo wa subira!!

Hata Sharif hamadi alikaa sana gerezani bila ya dhamana lakini leo yuko wapi!
Mzee mandela alikaa miaka 25 gerezani lakini leo ni nani? nyinyi mnadhani viongozi wenu wa Chadema wataweza kuukwaa Urais kiulaini bila ya kuishi gerezani!

Ponda ndio huyooo anatoka Gerezani lakini ndio amezidi kuwa maarufu na Mnyika wa Ubungo ajitayarishe kukabidhi jimbo kwa Mheshimiwa Ponda 2015!!

Mweeeh..! Mara yameshakuwa hayo..? Kwa chama gani au atakuwa mgombea binafci..?
 
:nimekataaSheikh Ponda Issa Ponda, mimi na muangalia kwa jicho la kipekee sana tofauti na vile alivyochorwa na vyombo vya habari na serikali kwa ujumla..nguvu yake ya ushawishi ni kubwa mno kuliko tunavyodhania tulivyo wengi. Labda nimtoe wasiwasi mjumbe mmoja alietangulia kusema,"Ponda sisimizi tu hawezi vieka vyombo vyote vya usalama busy kiasi hicho..." si vyombo vya usalama tu bali nchi yote kwa ujumla, tuache kejeli na dhihaka katika masuala mazito kama haya. Labda nikupeni mfano wa kariakoo; yale maandamano ya watu wanaoitwa wachache tu ndio yaliosababisha serikali kutumia nguvu kubwa kuyatuliza wakiwemo Mgambo wa jiji, polisi wa kawaida, polisi kanzu, kikosi cha kutuliza ghasia na hata tuliona JWT wakienda kuimarisha ulinzi labda unaweza kuona ni jinsi gani ana nguvu ya ushawishi japo yu mahabusu.

Sheikh Ponda, ni mwanaharakati wa kiislam na anaathiriwa na misingi ya imani na mafundisho yake katika maisha yake ya kila siku, ikiwemo kutembea, kuzungumza na hata anapoona vitu haviendi sawa anajukumu la kulikemea kama vile anavyoelekezwa na Misingi ya imani yake...hivyo mimi sioni kama kunahaja ya kumlaumu; Mathalani kiongozi yeyote wa imani ya Kikristo anapoongea na waumini wake ananamna anavyokua anaathiriwa na imani yake katika kukemea maovu kulingana na misingi ya imani yake kwamba Ukipigwa kofi kulia mgeuzie kushoto kama masihi alivyofundisha bi maana ukiona ovu muachie Mungu ndo anajua atahukumu vipi, Hali kadhalika kwa Sheikh Ponda anaelekezwa na kiigizo chema chake na waislam wote(Mtume (s.a.w)) ambae ni mwalimu wa walimu kwamba usikubali kudhulumiwa ama kudhulumu mana ni uovu, na unapoliona ovu basi litowe kwa mikono yako(Sheikh Ponda kwenye nchi isiyo na dini hana mamlaka hayo na nisingependa ifikie hapo mana hatutopata hata muda wa kupashana habari na kuelimishana kama ivi ila ana njia mbadala), ama kama ukishindwa likemee(Ndio maana kila siku unamsikia akikemea kwa nguvu zote maovu yote) na akishindwa kabisaaaaaaaaaaa basi achukie(ambapo ni udhaifu wa imani). Kwa nukta hiyo basi, hata akitoka huko gerezani bado ataendelea na msingi uleule wa imani yake na hakuna wa kumsimamisha isipokuwa ni Muumba anaemuamini, labda kwa faida mana huenda wengine hamkuwa mmezaliwa Sheikh Ponda alisha kaa nje ya nchi kwa vikwazo nayo ilikua ni kwa kazi yake hii hii na hata aliporudi hakuna aliemstopisha bado aliendelea kukemea maovu.

Labda nimalize kwa kusema kinachotakikana hapa nchini ni kutambua wapi mmetofautiana kiimani na kuheshimiana kiimani na si kuvumiliana mana unapovumilia kitu inafika mahali unaudhika ambapo huwezi vumilia tena. Sisi tuwe mabalozi huko mitaani mwetu juu ya kuheshimu misingi na matukufu ya imani nyingine ili mmomonyoko wa maadili ambao vijana wasasa wanao ukome. Pili, media zetu zijitahidi kusema kweli pale wanaporipoti habari na kujaribu ku-balance hizo habari ili isije ikawa ni chanzo cha vurugu. Tatu, serikali iache kupuuza malalamiko ya jammii hii ya waislam hapa tanzania ili ile Psychologia ya kushindwa walionayo waumini wengi wa jammii hii na kujiona wao kama 2nd class ikome. Naomba kuwakilisha x x x x:shut-mouth:
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom