Habari ya muda huu ndugu zangu? Samahani, kwa aliyepo mkoa wa mwanza, kuna lodge zipi za bei nafuu?
Maana ndo nimeshuka stendi muda huu na ata sielew nianzie wapi, Msaada wenu naomba wakuu,
Big up ... komaa tu ndugu na kwa style iyo milango mingine ambayo hata haukuitaraji lazima itafunguka na kuna siku uliyoyapitia utakujaga kuyasahau na kujishangaa utakapofikia ... amini hili
Yupo sahh ... pale yupo na mkuu wake hivyo hawez kuzungumza lolote au pengine mpk apewe ruhusa na mkuu wake ndo atazungumza ...acheni kukariri, UMBWA!!!
Blaza bnadam hatuaminiki, fahamu kama ulikua ufahamu... kitendo cha wew kutokuona msg za malovee kwny simu ya mpnz wako haimaanish uyo kwako anafaa... mbinu za kucheat zipo nyng sana na we mwnyw unazijua mana ni cheater vile vile .... rai yangu kwako: ishi vile unavoona ni sahh kwako ktk maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.