sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,014
- 8,364
Chanzo clouds Tv nawaangalia hapa habari yao ya pili leo inahusu Mauaji ya mfanyabiashara ya madini, wanahabari wamemfuata azungumzie tukio hilo ambalo linaonekana waliosababisha Mauaji ni polisi, yeye anasema aulizwe Waziri wake. Kisa yupo nae kwenye ziara mkoani Mtwara.
Hivi IGP enzi hizo za utawala wa Magu angeweza kumjibu mwanahabari hivyo?
IGP amechoka apunzishwe.
Hivi IGP enzi hizo za utawala wa Magu angeweza kumjibu mwanahabari hivyo?
IGP amechoka apunzishwe.