kwanza kazi ya mwenge ni nini? wanakula hela vibaya, kuna walimu walifanya kazi ya kuwasha na kuzima mwenge ila hawajalipwa hela yao mpaka kesho, hela imeliwa juu kw juu.
M kutano wa jana ulikuwa balaa, yaani CDM wameiteka mpaka morogoro wakati nilikuwa najua utakuwa mkoa wa mwisho kwa mabadiliko, CCM mjiangalie upya mtaangukia pua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.