Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakristo waoga sana
Wakristo waoga sana
mimi napiga mahebu vita vya kidini pale home kwangu sijui nitaanza na nani..hahahaa maana ni mvurugano full
Wakristo waoga sana
Wanabodi,
Japo kwa kifupi tu, Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni hii imemkariri Askofu Augustino Shao wa Kanisa la Katoliki Zanzibar akidai kwamba amepokea ujumbe kupitia simu ya mkononi kwamba maishan yake yapo hatarini kwamba ni sehemu ya watu wanaowindwa na wana Uamsho. Askofu Shao anashangaa ni kwanini serikali inashindwa kudhibiti kikundi hiki cha wahuni?
Aidha kuna TAMKO LA JUMUIYA LITATOLEWA LEO.
Mpaka sasa hakuna dalili yoyote kama Amir Farid ataonekanwa.
Lakini wajue hapatakalika tena hapa tutawachinja Mapadri na Polisi wote kama kuku.
Bububu wapnesha mfano baada ya kumchinja na kumua polisi moja kwa jina anatambulika Said.
Tunatakiwa tuwe makini na askari kanzu kwani wamenza kumagwa.
Tunaiambia Serikali hatukubaliani na tamko lao walotoa jana wao ndio wanahusika moja kwa moja..
Tunataka Amir achiwe kabla ya adhuhuri.
Tuachiwe Tupumuwe.
Hivi ni kweli serikali imeshindwa kuthibiti vurugu hizi? Hawa wahuni wanapata nguvu hizi kutoka wapi?
Mbona Askofu Martin Shao ni wa Dayosisi ya Kaskazini KKKT huyo wa Zanzibar imekuwaje tena.. au ni majina yamefanana..Ila katika hali ya kawaida Shein asikubali na yeye kuwekwa kwenye kundi la watu wasioweza kufanya maamuzi magumu kwa hawa wahuni, Hii itawaharibia hata kwenye utalii maana Zenji imekuwa kitovu cha vurugu sasa...Uamsho wote wakamatwe na wachukuliwe hatu stahili
Democracy999
Wakristo waoga sana
Democracy999
Wakristo waoga sana
Title na content mbali mbali. Askofu Agustino Shao na Martin Shao ni watu wawili tofauti. Kuwa makini unapoleta mada usikurupuke. Sasa tuambie alyetishiwa ni Martin Shao au Augustino Shao?Wanabodi,
Japo kwa kifupi tu, Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni hii imemkariri Askofu Augustino Shao wa Kanisa la Katoliki Zanzibar akidai kwamba amepokea ujumbe kupitia simu ya mkononi kwamba maishan yake yapo hatarini kwamba ni sehemu ya watu wanaowindwa na wana Uamsho. Askofu Shao anashangaa ni kwanini serikali inashindwa kudhibiti kikundi hiki cha wahuni?
Aidha kuna TAMKO LA JUMUIYA LITATOLEWA LEO.
Mpaka sasa hakuna dalili yoyote kama Amir Farid ataonekanwa.
Lakini wajue hapatakalika tena hapa tutawachinja Mapadri na Polisi wote kama kuku.
Bububu wapnesha mfano baada ya kumchinja na kumua polisi moja kwa jina anatambulika Said.
Tunatakiwa tuwe makini na askari kanzu kwani wamenza kumagwa.
Tunaiambia Serikali hatukubaliani na tamko lao walotoa jana wao ndio wanahusika moja kwa moja..
Tunataka Amir achiwe kabla ya adhuhuri.
Tuachiwe Tupumuwe.
Hivi ni kweli serikali imeshindwa kuthibiti vurugu hizi? Hawa wahuni wanapata nguvu hizi kutoka wapi?
Mikutano ya Chadema Arusha Polisi waliua watu watatu, Morogoro mmoja, Iringa Mwangosi, Mbeya mmoja. Mazingira ya mikutano yote ya Chadema hayakuwa na mapambano yoyte. Iweje sasa Watu wanavamia wizara, wanaua polisi (FFU), wanachoma ofisi za CCM, wanachoma madhabahu na makanisa, wanatoa siku 7 kwa serikali, wanafanya fujo Kariakoo n.k lakini hata kwenzi tu hawapigwi. Kuna siri gani hapa?
asante mkuu waambia,.huyo anayeasema wakristo waoga wanachoogopa nini .kuna chuo kinachofundisha kushika panga ..tutaweza tunachotumia ni busara tu .tiketi zetu zipo mkononi yakiendela tu tunarudi kulinda makanisa kwa heri hata kwa shari
2nasubir kaul za viongoz we2(maaskofu),usi2pimie kwa machoWakristo waoga sana
Kwani wanaotishia kuchinja wengine shingo zao za nondo. Kwetu huku hakuna misikiti hivyo hata Watoto na wanawake huchinja. Hivyo hao wanaotamba kuchinja wengine watachinjwa na watoto na akina mamaWanabodi,
Japo kwa kifupi tu, Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni hii imemkariri Askofu Augustino Shao wa Kanisa la Katoliki Zanzibar akidai kwamba amepokea ujumbe kupitia simu ya mkononi kwamba maishan yake yapo hatarini kwamba ni sehemu ya watu wanaowindwa na wana Uamsho. Askofu Shao anashangaa ni kwanini serikali inashindwa kudhibiti kikundi hiki cha wahuni?
Aidha kuna TAMKO LA JUMUIYA LITATOLEWA LEO.
Mpaka sasa hakuna dalili yoyote kama Amir Farid ataonekanwa.
Lakini wajue hapatakalika tena hapa tutawachinja Mapadri na Polisi wote kama kuku.
Bububu wapnesha mfano baada ya kumchinja na kumua polisi moja kwa jina anatambulika Said.
Tunatakiwa tuwe makini na askari kanzu kwani wamenza kumagwa.
Tunaiambia Serikali hatukubaliani na tamko lao walotoa jana wao ndio wanahusika moja kwa moja..
Tunataka Amir achiwe kabla ya adhuhuri.
Tuachiwe Tupumuwe.
Hivi ni kweli serikali imeshindwa kuthibiti vurugu hizi? Hawa wahuni wanapata nguvu hizi kutoka wapi?