Recent content by Mukubwa

  1. M

    Tusipotoshe, ukweli ni kwamba Samia Suluhu ni Rais wa Kikatiba na si Rais wa kuchaguliwa

    Kwahiyo 2025 mchakato wa kupata mgombea Uraisi kupitia CCM utakuwepo na atshindanishwa na watia nia wengine?
  2. M

    Umejifunza nini kupitia hii picha?

    Mimba za utotoni
  3. M

    Rais Magufuli unadanganywa; Umeme wa REA haujawafikia wananchi wengi vijijini

    Kama umeme wa REA ungekuwa umeenea kama wanavyosema basi makampuni mengi yanayouza umeme an vifaa vya solar yangeshafunga virago lakini hali ni tofauti
  4. M

    Waliopitisha hii bila kushirikishaWadau mjiandae kujibu maswali magumu kwa haya

    Mheshimiwa ungeongeza Nyama kwenye hii ili tuelewe vizuri, ama weka sheria nzima hapa
  5. M

    Wanaokebehi juhudi za BoT kulinda hela zetu za kigeni wajifunze haya

    SA unaweka Dolla Hetelini asubuhi wankurudishia Rand, nilikuta huo mtiti siku moja (zamani kidogo kama 2012) mteja aliogopa kulala ya dola zake akaamua akabidhi kwa usalama zaidi asubuhi anazidai anapewa Rand palikuwa padogo. sijui kama utaratibu huu bado unaendelea
  6. M

    Dstv haipo hewani toka asubuhi

    Mkuu hiyo itakuwa kwako tu check na DSTV wakupe fundi akusaidie issue yako
  7. M

    2020 kuna mpasuko mkubwa CCM ambao haujawahi kutokea

    Kura ya Maoni itakuwepo kwanza maana usikute 2020 kamati kuu intoa majina ya wagombea bila kupigiwa kura.
  8. M

    TRA na kodi ya Mabango ya Indoor

    Kwai haya makusanyo yanongozwa na sheria gani? na utaratibu wa fine untumia sheria gani ?
  9. M

    Zitto Kabwe: Zaidi ya Watanzania 380 Wanatajwa ‘Kupotezwa’ MKIRU

    Mkuu MKIRU kumetulia au kwa sababu hatupati taarifa za kujitegemea toka huko? maana hatujui Azory alikuwa na taarifa gani ambazo zingetupa hali ilivyo huko
  10. M

    Msaada: Eneo la Mtambani linapatikana wapi Dar es Salaam?

    Boko pia kuna soko linaitwa Mtambani, lipo baada ya kupita Boko CCM
  11. M

    Waziri mkuu Majaliwa atinga bandarini na kukuta magari 44 yakitaka kutolewa kwa kutumia jina lake

    Hana issue haha issue imenyooka, Bandari wanashidwa kufanya kazi yao ili trailler zitoke, maana Kodi imeshalipwa kitambo
  12. M

    Waziri Kigwangalla naomba uzuie Nyumbu wa Tanzania kuingia Kenya

    Tufanye yaliyo ndani ya uwezo wetu mengine tuayaache, maana huku kutakuwa kuingilia uhuru wa wanyama.
  13. M

    Polisi Dar wakusanya milioni 440 za makosa ya barabarani kwa siku tano

    Lazima wapate nyingi Jana nimewakuta kwa sokota saa nne na nusu usiku, sijui nao wameambiwa wafanye 24 hrs
  14. M

    Peniela (Story ya kijasusi)

    kwenye huu uzi ukiona tu page zimeongezeka unakuja Mbio Daaaa hatari
  15. M

    Wana wa Mungu waliwaoa binti za binadamu!

    Ndo maana Biblia inatakiwa isomomwe kama inavyotakiwa na sio kuleta mstari mmoja ili kupotosha. soma mstari wa Biblia then fuatilia unakupeleka wapi. sio kuchukua verse moja na kukimbia nayo .
Back
Top Bottom