Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 8,283
- 19,152
Uliposema tu Makamu wa Rais ana majukumu sawa na Rais ulianika ujinga (siyo tusi) wako.Unajua neno "inapotokea dharura" . Na kifo ni sehemu ya dharura inayotamkwa na katiba
Uliposema tu Makamu wa Rais ana majukumu sawa na Rais ulianika ujinga (siyo tusi) wako.Unajua neno "inapotokea dharura" . Na kifo ni sehemu ya dharura inayotamkwa na katiba
Kweli mkuu.. haiwezekani mtu anaamka asubuhi na chuki chuki zake anakuja kuandika ujinga hapa jukwaani. Dunia nzima wakiwepo mabeberu na hao wajinga waliomtuma kuandika huu uharo hapa wanajua fika kuwa Tanzania ina raisi, amiri jeshi na mkuu wa nchi mmoja tu, nae ni Samia Suluhu Hassani. Haijalishi uraisi wake kaupata kwa kura au vinginevyo, kikubwa katiba imezingatiwa na dunia inamtambua. Sasa kama haitaji kuongozwa na huyu raisi aende kwa Lisu wakatengeneze serikali yao huko belgium.
Samia ni Rais hutaki jinyonge mkuu
Nikikumbuka Lowasa alivyojiandaa kuwa Rais wakati Samia umemdondokea.
Kwahiyo 2025 mchakato wa kupata mgombea Uraisi kupitia CCM utakuwepo na atshindanishwa na watia nia wengine?Ni ujinga kunilazimisha eti Samia ni Rais wa kupigiwa kura!
Samia alikuwa msaidizi wa Hayati Magufuli ambaye ndiye aliyepigiwa kura za Watanzania kuwa Rais.
Lakini baada ya kifo cha Magufuli kikatiba makamu wake ndiye aliyepaswa kuwa mkuu wa Nchi. IELEWEKE,NI KWA MUJIBU WA KATIBA na si kwa MUJIBU WA WAPIGA KURA.
Kwa muktadha huo si sahihi kusema Samia ni Rais aliyepigiwa kura bali ni Rais ALIYEPO MADARAKANI KWA MUJIBU WA KATIBA na huo ndiyo ukweli.
Awe wa kikatiba au wa kuchaguliwa au wa kuteuliwa ,Samia ndio Rais stori zenu zingine hazitawasaidia.Ni ujinga kunilazimisha eti Samia ni Rais wa kupigiwa kura!
Samia alikuwa msaidizi wa Hayati Magufuli ambaye ndiye aliyepigiwa kura za Watanzania kuwa Rais.
Lakini baada ya kifo cha Magufuli kikatiba makamu wake ndiye aliyepaswa kuwa mkuu wa Nchi. IELEWEKE,NI KWA MUJIBU WA KATIBA na si kwa MUJIBU WA WAPIGA KURA.
Kwa muktadha huo si sahihi kusema Samia ni Rais aliyepigiwa kura bali ni Rais ALIYEPO MADARAKANI KWA MUJIBU WA KATIBA na huo ndiyo ukweli.
Awe wa mchongo au wa kuchongwa ,Samia ndio Rais wa JMTKifupi ni Rais wa Mchongo
Samia hana mvuto😂😂😂Kwasababu hali mahindi ya kuchoma barabarani!
Vipi kesi kuke jamaa atatoboa au?Samia ni MTUKUFU RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Majungu yenu ya Kisukuma tupa kule
Kesi kuke jamaa kishatoboa bonge la mtobo a.k.a tobo dundaV
Vipi kesi kuke jamaa atatoboa au?
Rais? Labda laisiAwe wa mchongo au wa kuchongwa ,Samia ndio Rais wa JMT
Rais ni Gaidi MboweRais? Labda laisi
hahahahaaaaaa.Samia ni MTUKUFU RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Majungu yenu ya Kisukuma tupa kule