vunjo
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 1,323
- 2,607
Habari wadau, nimekutana na changamito na hawa TRA sehemu ya biashara yangu kuna stika nimebandika katika vioo vya frame yangu ambayo ipo ndani ya shopping mall hapa jijini. Sasa wakapima na kulazimisha ni sign gharama ni laki nane na ilipwe ndani ya siku saba sasa naomba kuuliza kwa mwenye uelewa je kodi hizi za mabango ya ndani ya jengo ni halali kulipiwa?