Anachokifanya maboko kimenipa jibu la kwa nini wasomi nchini hawaheshimiki sasa naona kumbe serikali haikukosea kuwalipa vizuri wabunge kuliko walimu wa vyuo vikuu
Anhaaa! Nadhani wanataka kufanya majario ya Student By-Law 2011, sipati picha hiyo 10/10 itakuwa vp na wanaharaki wanafki wa mlimani wenye kupigania maslahi yao binafsi na ya Mukandala
Utakuwa ni wewe mwenyewe unatafuta halafu unajifanya rafki yako kwani yeye haiui Jf au kwa kuwa umeskia huku kwa ma-greant thinker ma mdogo bhana haya utampata mzee Rwaitama maana na yeye anatafuta mwenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.