wangu amezidi kupretend khaaaaaa!s ome times *nikimgombeza kdogo *kesho yake lazima 'aumwe"hata *akitaka nirudi mapema "anaumwa"NK, some times nashindwaga kujua wakati gani anakua anaumwa kweli au la,so naamua kumchunia hadi nione amezidiwaJamaa yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba wanawake kuumwaumwa ni aina yao ya kudeka ili wajue kama mwanaume unampenda kweli au magumashi. Pia siyo kila kilio cha mwanamke ni kilio cha kweli.
Hata mimi naamini kwamba wakati mwingine wanawake "wanaumwa" ili wawe karibu na wapenzi wao.Au wanalia ili wabembelezwe.
Sasa kwani ni lazima wanawake wadeke ndiyo wajue wanapendwa kwa kubembelezwa?
kuna wanawake akiona ndugu wa mume wamejaa kwenye nyumba,ataumwa weeh mpaka wapungue....lol
Ya kweli hayoo?
Utanifanya nibadilishe mawazo yangu
umeolewa na mkurya nini?
Mtu kila weekend anaumwa Mara anataka umshikilie anapokwenda chooni, umpikie chakula kwa sababu anadai anasikia kizunguzungu, umwogeshe, umfulie Ch&@i yake, ukitoka kidogo mesegi kibao kwamba umemtelekeza. sasa Ashadii anasema ni kutaka attention mimi kwa uelewa wangu lengo la kudeka ndiyo hilo la kuvuta attention.
Sasa na kulia ndiyo huko tena. Jambo dogo chozi hilo.... Nakubaliana na Tz1 kwamba kama kudeka basi wanawake dekeni wiki mbili baada ya hapo mnakera jamani. Maana wakati mwingine mnaongea au unamwelekeza jambo la maana yeye ghafla anabadili sauti na kuanza kuongea kama mtoto mdogo. Aaargh! Inakera bana.
Kudeka muhimu ukiwa mgumu sana haifai ila kuumwa umwa kunahusianaje na kudeka?
wiki mbili hajapona tu!!? Tatizo tumeshawastukia kwamba nyinyi wakati mwingi mnakuwa mna- act mnaumwa kumbe hakuna kitu.
Kudeka muhimu jamani lol!!1
Jamaa yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba wanawake kuumwaumwa ni aina yao ya kudeka ili wajue kama mwanaume unampenda kweli au magumashi. Pia siyo kila kilio cha mwanamke ni kilio cha kweli.
Hata mimi naamini kwamba wakati mwingine wanawake "wanaumwa" ili wawe karibu na wapenzi wao.Au wanalia ili wabembelezwe.
Sasa kwani ni lazima wanawake wadeke ndiyo wajue wanapendwa kwa kubembelezwa?
kuna wanawake akiona ndugu wa mume wamejaa kwenye nyumba,ataumwa weeh mpaka wapungue....lol
kudeka kwa mwanamke kuna mfanya awe na mvuto hata wa kimapenzi labda huyo wa kwako hawiani na madeko anayofanya na yeye alivyo ndo maana inakuboa.Mfano kuna wasichana wana misauti ya kiume hao hawafai madeko yahusuyo sauti.
Jamani msituite mijitu wenzenu!! labda kwa vile mnatuona ni mijitu ndiyo maana mnadhani kwamba bila kudeka hatuwezi kuwajali!!kulihudumia lijitu lizima mchezo.