wanazungukwa na wenzao waliofanikiwa, wanawatu wa kuwaelekeza nini cha kufanya na jinsi ya kufanya, wanaanzia chini huku wakijifunza na kuvumilia, wazuri kwenye saving ya pesa, wanasaidiana kwenye fursa na kuzitumia vizuri, wanakaa hapo hapo kwenye biashara zao.
ila hayo magari ma VX na ma V8 ukiyapanda alafu ukaenda mwendo wa kama ist au vitz, inakua ni matumizi mabaya ya resource za taifa. Hayo raha yake ni mwendo ndio yananoga. Hata ungekua wewe unemuamlisha dereva akanyage!
Fanya soo lolote polisi waje kukuchukua hapo ofisini kwenu wamekupiga Tanganyika jeki, then ukae ndani kama wiki hivi. ukitoka kila mtu atajua kumbe huna lolote.
Akiwa dereva wa bodaboda pesa hatuiona tena, wakina mama wana makusudi sana na madereva wa bodaboda, wakikaa nyuma wanajibinua, wanawagusisha vifua vyao madereva! Hayo mambo ya kusave yatakua ndio basi tena!
Bei ya uranium imeshuka kwenye soko hivyo jamaa wame freeze project mpaka bei itakapokuwa nzuri. Lakini mambo yote yapo sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pale unapompa mtu nguo uliyokua unaipenda alafu unamkuta ameitimba haitamaniki, inaiangalia nguo yako kwa hisia fulani hivi. Zawadi ina raha pale unapompa mtu kitu anachokipenda alafu akakitunza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe kua busy na mambo mengine ya kujenga taifa mambo ya maendeleo kwani tumeletwa duniani kugegedana tu? Mwanamke kama mtoto akijua unamtamani ndio anafanya hivyo, ukimpotezea atakupa mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.