Njia rahisi ni kuomba kubadili cheti cha kuzaliwa. Sasa hivi wamerahisisha inafanyika online (old to new) nafikiri ni 7,000
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hii kweli kbs. Ss unakuta mwanafunzi amejaza mambo ya sayansi wakati yeye amefaulu masomo ya arts, utamfanyaje? Na hata ukimtafute anakwabia jaza yeyote fresh tu.
Km unataka kwenda a level tafuta namba za huduma kwa wateja tamisemi uwapigie. Waambie kombination ya iliyo balance na shule unayohisi itakuwa unauwezo wa kwenda, watakusaidia. Sio 100% itategemea utakavyojieleza lkn
Kwa vyuo vya ufundi Dar Tech, Arusha Tech na Mbeya Tech analipiwa ada, chakula na malazi anaongeza zile gharama ambayo mwanafunzi anatakiwa alipe na nafikiri haizidi 300,000. Siku izi kozi nyingi hakuna certificate, ukipata admission tu unasoma diploma
Namba ya wateja itaongezeka. Je, amejipangaje kuwapa umeme wa uhakika? Maana sa ivi umeme unakata kwa siku hata mara 10 coz ya upungufu wa wafanyakazi hivyo maintenance haifanyiki kwa wakati.
Labda kuuza juice mfano tendeshake, sotojo ambazo zinaanzia kati ya 1,000, 1,500 na 2,000. Lkn kwenye maeneo ya mkusanyiko wa watu wengi kama kibraten ( kariakoo usiku), vyuoni na sehemu zingine
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.