Hujawakomoa, salimia mara 1, akiitikia kwa unyonge acha.Namba moja naitumia sana kitaa kwa vile mimi ni mtu wa salamu na utani wa hapa na pale, ila kuna nyumba jirani na ninapoishi ina watu wa ajabu (mostly wanawake)
Nilianza kuwasalimia kila ninapopita hapo asubuhi ila wakawa wanaitikia kwa taabu sana yaani kinyonge kama hawataki vile... nikaendelea kuwasoma pasipo kujua tatizo ni nini!
Mara ya mwisho nikasalimia (walikuwa wanawake watatu) kibarazani, wote wakakaa kimya kama vile hawajasikia salamu yangu.
Kuanzia siku hiyo nikajiapiza kutowasalimia tena.. yaani mpaka kesho napita kama siwaoni vile.
Sifanyi hivi kuwakomoa, ila ninawadharau kwa tabia yao mbovu.
Zimetoka street universityCodes hizo ni zenyewe, Umezitoa wapi lakini mkuu!?!!
namba sita ipewe ulinzi.Huu Uzi upewe hadhi walau nyota moja jamani,pia namba sita peke yake ipewe V tatu
Sent using Jamii Forums mobile app
hili la kwenda kujitambulisha kwa wazee magwiji wa mtaani kwako nalo lina umuhimu wake.Mkuu Vipi kuhusu kwenda kujitambulisha kwa wale wapenda shiriki yaan wabobezi katika kada ya uchawi ,wanga na ulozi waliopo mtaani kwangu maana hayo yote nimekwisha kuyafanya lakini walozi na wachaw Bado wanaendelea kuniletea sintofaham kubwa sana hapa mtaani kwangu kwa mtogole.
ni muhimu kuchukua tahadhari zote wakati unaanzisha urafiki na vijana wahuni wa mtaa. uwe ni urafiki wa kimaslahi.Kujenga mazoea na mhuni uko sawa japo utegemee yote ,
Niliibiwa kiti mmoja akasaidia tukakipata bila kuumizana nikasema hapa fresh, mwisho wa siku huyuhuyu akaiba kuku akanaimbia mshkaji wangu nipoze chochote kuku wetu mzee kasema niuze nipate nauli ya kwenda kijijin kusalimia
chupuchupu nile pingu uzuri busara za mwenye kuku zilisaidia
pole sana ugobha.Kujenga mazoea na mhuni uko sawa japo utegemee yote ,
Niliibiwa kiti mmoja akasaidia tukakipata bila kuumizana nikasema hapa fresh, mwisho wa siku huyuhuyu akaiba kuku akanaimbia mshkaji wangu nipoze chochote kuku wetu mzee kasema niuze nipate nauli ya kwenda kijijin kusalimia
chupuchupu nile pingu uzuri busara za mwenye kuku zilisaidia
Yaani ukijipindua tu umelia tatizo wengi hawapendi kujishughulisha wapowapo tuni muhimu kuchukua tahadhari zote wakati unaanzisha urafiki na vijana wahuni wa mtaa. uwe ni urafiki wa kimaslahi.
Yap, Great, ukiwa na gari au unafutwa na gari ya ofisini siku moja moja tembea kwa mguu au tumia daladala, hii nayo ina nguvu.Shukrani sana galileo.