Nimpe kiasi gani kama shukrani?

Nimpe kiasi gani kama shukrani?

Inategemea na hilo dili mlipeana vp. Wengine hawahitaji kitu, amekusaidia tu.
 
Mm kuna mzee huku kijijin kwet nilimpa deal za kuchomelea gril za dirisha na milngo almost kama 1.2m

Baada ya kazi akaninunulia k+ vant ndogo fresh tu

Ila mpaka leo ananiuliza mbona simpelekeagi kazi tena?
Wewe unahisia alipata faida kiasi gani? Hili jambo liliwahi nitokea nilikuwa na workshop ya aluminum na pvc, client anakuja naleta nusu ya ela labda kazi milion 3 analipa mls 2 halafu anahisi milioni yote iliyobaki ni faida.
Ikitokea ukafunga zile dirisha pasipo kumaliza basi atakuzungusha mpaka ujute kwakuwa anaona unapata faida kubwa kumbe siyo kweli.
 
Kaka habari yako.
Mimi hapa nina hitaji mkopo wa milioni 2 unalipwa kwa miezi 4-6 , hii itanifanikisha dili la maisha yangu na pia kuna zawadi atayefanikisha Hilo.
Mimi ni mkazi wa mbezi , na muhitimu wa Diploma ya finance ifm .
Naomba ushirikiano wenu ndugu na kamaa
 
Kuna jamaa amenipa dili la kiasi cha milioni moja, sasa ninataka kumpa pesa kidogo kama asante ili siku nyingine ikitokea tena dili anikumbuke. nimpe kiasi gani?
Duh!!!,Hivi Kwanini Wabongo kadiri siku zinavyozidi kwenda tunakuwa wavivu Sana wa kuwaza ??!, yaani Hilo nalo unataka hadi JF tukushauri?. Naona km tunashusha hadhi ya JF
 
1m even 100m unatoa hisani ya nini?
"Bosi hapewi hata Mia kwa namna yoyote we mwonyeshe bado Ni mnyonge balaa"
hawa ndio wale pesa kidogo tayari wanaza kujenga pembeni ya nyumba ya mkuu wa kazi
Ni ngumu sana watu aina hiyo kuwa na plan B yaan hawawazi Jambo la Mana na ndani ya taasisi tunawaita wanafiki walamba viatu na umbea
 
Back
Top Bottom