Njoo uwe wangu mana nataka msomi awezi kunishauri biashara zangu ili ziweze kupanuka zaidi kwa kutumia elimu yako mimi nina mtaji wa kutosha lakini elimu yangu ndogo
Angesema kama jamaa yake alie naye kama in bed ni mzigo kama yupo poa achana na mawazo hayo heshima ni pale tu mume hajakugusa hilo tatizo unalitafuta mwenyewe
Hao wanao laumu ni kwa sababu zao binafs kiserikali rais kamtuma mtu wake na kazi yote imeendeshwa na serikali tatizo liko wapi sehemu panapo kuwa na rais msisimko unapungua sababu ya ulinz kuwa mkubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.