Recent content by Mubishi

  1. M

    Nataka niwe mke wa pili

    Njoo uwe wangu mana nataka msomi awezi kunishauri biashara zangu ili ziweze kupanuka zaidi kwa kutumia elimu yako mimi nina mtaji wa kutosha lakini elimu yangu ndogo
  2. M

    Kanusho: Vyeti feki vyafyeka polisi kwa mamia, ni habari ya Uongo

    Hongera Magufuli Mungu amlinde daima kwa kazi anayofanya watoto watu watapata kazi sasa
  3. M

    Ushauri: Nina uhusiano wa kimapenzi na mdogo wa shemeji yangu

    Hapo hakuna udg hata kidogo Ila shida ni kwa wazazi wenu wana sababu zao binfs mkiweza kukaza uzi haina shida na badae watawaelewa
  4. M

    Wanawake wenye Vinyweleo

    Hongereni kwa mada ya kuliwaza baada ya kazi
  5. M

    Nini kinakuvutia kwa Mwanamke.??

    Mimi napenda mwanamke mweusi mwenye mzigo mkubwa wa wastani
  6. M

    Tumshauri jamaa yangu huyu

    Bora aende tu labda kazi mke kamutafutia Ila anaogopa kumwambia jama direct Ila takcare mbeleni
  7. M

    Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

    Angesema kama jamaa yake alie naye kama in bed ni mzigo kama yupo poa achana na mawazo hayo heshima ni pale tu mume hajakugusa hilo tatizo unalitafuta mwenyewe
  8. M

    Taa ya engine inawaka

    Kacheki sensa magari ya cku hizi yanaendeshwa kwa sensa labda imeingiza tatizo
  9. M

    Wanaume, hivi kuweka dawa na piko kichwani ni ujanja au ushamba?

    Na mm pia neutral kwa sababu ni matakwa ya mtu mwenyewe anataka kuwa na muonekano gani
  10. M

    Kwa sababu hizi kuu, tusimlaumu Mh Rais kutokuhudhuria kuaga miili ya wanafunzi huko Arusha

    Hao wanao laumu ni kwa sababu zao binafs kiserikali rais kamtuma mtu wake na kazi yote imeendeshwa na serikali tatizo liko wapi sehemu panapo kuwa na rais msisimko unapungua sababu ya ulinz kuwa mkubwa
  11. M

    Katika tendo la ndoa nani hufaidi zaidi?

    Mchezo ukiandaliwa kwa utaramu Wa hali ya juu wote wanafaidi 'lakini kama ni kwa mmoja huyo ndio mwenye kufaid
  12. M

    Mafuriko yaikumba gari, jamaa aifanyia maombi

    Arudi alikotoka haraka mana akiendelea inateleza
Back
Top Bottom