Mfuko wa uwekezaji wa pamoja UTT punguzeni ubabaifu katika kuhudumia watu,mnafanya clerical errors na badala ya kuzishughulikia mnampa mzigo mteja.Mkiwa watoa huduma tena mnaoshika vitu muhimu kama pesa hakikisheni mnafanya kazi zenu kwa weledi.Dunia iko kidijitali lakini mnafanya makosa...
Asanteni,tozi,nyangi ngabu n kui..naona Io bottega venetta imenikuna.sa mniambie ni shs ngapi nimchukulie shemeji yenu....afu mi ni mapenzi wa red door ya Elizabeth Arden....Ila ndugu ubahili kanikumba as iv mnnisidije?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.