maskin huna lolote....kazi kujitutumua tuCredibLe, wap naweza pata hyo spray' mwenye kujua pliz mana nkzkuta naweza nkazoa zote asee
Bongo wanauza kuanzia 600k-800kCreed dola ngapi?
shikamoo Nyani,hapo unapata kavitz kabisa USA baby
Swali lako ni la kipuuzi sana
Natumia Nivea creme au Eucerin creme pia baadhi ya siku hutumia coconut oil. Unaweza ukashanga why coconut oil lakini kwanza hulainisha na kungarisha uso pia inafanya uonekane na sura ya kiteenager. Matumizi ya coconut oil unaweka kidole kimoja kwenye oil halafu una rub kwenye mikono yako ndio unapaka kwenye uso.asee!, ookay nimekupata. Lakini, nimeona wakaka wanajipenda but nyie wa humu si mchezo.
Halafu after facial scrub unatumia lotion au moisturizer?
Haha watu na Teenager face zetu hiyo unasemea ni Parachute Coconut oil eeh mana wanawake wanaipenda BalaaaNatumia Nivea creme au Eucerin creme pia baadhi ya siku hutumia coconut oil. Unaweza ukashanga why coconut oil lakini kwanza hulainisha na kungarisha uso pia inafanya uonekane na sura ya kiteenager. Matumizi ya coconut oil unaweka kidole kimoja kwenye oil halafu una rub kwenye mikono yako ndio unapaka kwenye uso.
Natumia Nivea creme au Eucerin creme pia baadhi ya siku hutumia coconut oil. Unaweza ukashanga why coconut oil lakini kwanza hulainisha na kungarisha uso pia inafanya uonekane na sura ya kiteenager. Matumizi ya coconut oil unaweka kidole kimoja kwenye oil halafu una rub kwenye mikono yako ndio unapaka kwenye uso.
Hizi ni za kike au za kiume or for both
Kama hautajali weka na bei zake na how nice it is
Hizi ni za kiume japo hata mwanamke anaweza kutumia kibishi.
Polo Black inauzwa $105.
John Varvatos Artisan inauzwa 90$
Unforgivable by sean john inauzwa 70$
They are nice according to my tastes which may vary with yours.
hahahahahahaha eti kibishi.
Naomba unielekeze zinakopatikana, halafu mbona bei zake ziko in dollar, zinapatikana hapa nchini au ndo mambo ya ebay
Brother ni duka?