barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
- Thread starter
- #121
Hujui unachokiongea mkuu!!Kwa hiyo hata juzi usiku alikuja na ndege yake pale walipoonana na Mahiga?Katibu mkuu wa umoja wa mataifa ana ndege yake ninafsi wala haitaji ndege za kuungaunga kama unavyodai acha kutudanganya.
Kwa taarifa yako alikuja na Ndege ya Swiss,ambayo ni ya abiria,na si special flight,na ilikuwa Airbus 330
Usiwe unaongea vitu usivyovijua