utakuwa umepotea njia kumbuka Mke mwema anatoka kwa mungu huyo mkimbizi,baamedi au kahaba atakuwa anafuata maisha na wala si ndoa kama ulivyofanya utafiti wako wengi wa watu walio jaribu kuoa wanawake wa aina hii walikuja kujutia maamuzi yao..
Ukiona umeshidwa kusema fanya kuhama kimya kimya kuepusha mengi,ila kama ulikuwa una malengo nae kwanini ukubali kulala nae chumbani kwako/kwake baada ya tukio la siku m0ja au mlamba asali alambi mara m0ja...,unatakiwa ufanye maamuzi ya kiume bado mapema acha ulibukeni usije ikawa umempa mimba...
Mwl idara ya Msingi.
Niko halmashauri ya
KYERWA - KAGERA.
NAOMBA KUBADILISHANA
NA MWL. YEYOTE KUTOKA
HALMASHAURI mojawapo
ya mikoa ifuatayo:
Mwanza, Moro.Bagamoyo,
Geita au Misungwi ni PM
0768661134 au 0654354841
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.