Recent content by Mtubize

  1. Mtubize

    Ukipata mwanamke toka makundi haya basi oa

    utakuwa umepotea njia kumbuka Mke mwema anatoka kwa mungu huyo mkimbizi,baamedi au kahaba atakuwa anafuata maisha na wala si ndoa kama ulivyofanya utafiti wako wengi wa watu walio jaribu kuoa wanawake wa aina hii walikuja kujutia maamuzi yao..
  2. Mtubize

    Nimenasa!

    Ukiona umeshidwa kusema fanya kuhama kimya kimya kuepusha mengi,ila kama ulikuwa una malengo nae kwanini ukubali kulala nae chumbani kwako/kwake baada ya tukio la siku m0ja au mlamba asali alambi mara m0ja...,unatakiwa ufanye maamuzi ya kiume bado mapema acha ulibukeni usije ikawa umempa mimba...
  3. Mtubize

    World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

    kitu umekiona simba wamearbu...
  4. Mtubize

    Mtoto wa mwezi mmoja (Denis) Auwawa kwenye ugomvi wa wazazi wake

    michepuko kwenye familia sio dil.R.I.P DENIC
  5. Mtubize

    Is love a decision or a feeling?

    Uzi umekaa vizuri sana Mkuu.
  6. Mtubize

    Walimu wapya wamedharauliwa na kupuuzwa.

    Wilaya ya kerwa na karagwe ndio bado ijajulikana hata hela ya kujikimu wajapewa yote hapo unategemea nn....
  7. Mtubize

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu yoyote aliye mwanza wilaya yoyote kasoro ukerewe,Geita na sengerema tubadilishane aje Karagwe,kagera njoo ule ndzi,viaz....
  8. Mtubize

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo karagwe mi nije Serengeti
  9. Mtubize

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwl idara ya Msingi. Niko halmashauri ya KYERWA - KAGERA. NAOMBA KUBADILISHANA NA MWL. YEYOTE KUTOKA HALMASHAURI mojawapo ya mikoa ifuatayo: Mwanza, Moro.Bagamoyo, Geita au Misungwi ni PM 0768661134 au 0654354841
  10. Mtubize

    Dunia sio duara!

    Unaitaji Msamamizi wa kuwa karibu yak0 Mkuu kwan unakoelekea unataka kuchizika au umevurugwa na mwalimu wako wa jografia std iv
  11. Mtubize

    93.7 sio ya Jide?

    P0le kwa kufatilia vitu visivy0kuhusu au unataka kujua mmilki ili uka0mbe ajira Mkuu.
  12. Mtubize

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo karagwe-Kagera nije Manispaa ya Mwanza,Dodoma na Morogoro Idara ya msingi
  13. Mtubize

    Very cheap iphone 4 16 gb

    Dukani uliipata kwa shilingi ngapi?
  14. Mtubize

    Habari njema kwa Graduate wote hapa Tanzania

    Wazo zuri sana Mkuu, katika Mijadala yenu zingatieni sera ya kujiajiri(UJASILIAMALI) zaidi.
Back
Top Bottom