Nimenasa!

Nimenasa!

Unamtema hivi siku moja mwalike rafiki yako wa kiume nenda naye kila Mara unaakikisha anamtongoza siku anaingia king unajifanya umewakata kumbe dili
 
Kumbe we sio mjanja wala nini... kamtego hakanasi hata panzi hako...
 
"huyu dada sina malengo nae"...... kauli mbaya sana hii. nataman mngekuwa mnatuambia tu ukweli. halaf very soon utagraduate kozi ya uplay boy.
 
Nikilegea utanikaza? Ulegee wewe na viungo vyako from today...naam vikakose nguvu kabisa...hata pale utakapotaka kugegeda vikakuaibishe..maana hata wewe wajua kuwa michepuko sio dili...ni ktk jina la njia kuu naomba na kushukuru...Amen

mama mkwe haya maombi hatari sana hasa ya kulegesa dushelele
 
Unamtema hivi siku moja mwalike rafiki yako wa kiume nenda naye kila Mara unaakikisha anamtongoza siku anaingia king unajifanya umewakata kumbe dili

Hahaha....not bad idea though
 
"huyu dada sina malengo nae"...... kauli mbaya sana hii. nataman mngekuwa mnatuambia tu ukweli. halaf very soon utagraduate kozi ya uplay boy.

Tehe..some tymz it jst hapened so....un-intensionally
 
Ukiona umeshidwa kusema fanya kuhama kimya kimya kuepusha mengi,ila kama ulikuwa una malengo nae kwanini ukubali kulala nae chumbani kwako/kwake baada ya tukio la siku m0ja au mlamba asali alambi mara m0ja...,unatakiwa ufanye maamuzi ya kiume bado mapema acha ulibukeni usije ikawa umempa mimba yakawa mengne.
 
Ujana maji ya moto... Mwambie kama yupo tayari muwe sex partiners awe na boy wake na wewe girl wako na kama ukileta girl wako hapo anatakiwa awe mdogo na asimind ... Hiyo inawezekana na itakuwa nzuri sana... Ila usisahau kutumia condom na kujitahidi kuacha uzinzi..

we umeacha?
 
umenasa eeenh!...jinasue tu mbona ipo easy tu si huna mpango nae? leta demu ghetto kama kawa akilianzisha unamchana tu "sina mpango na wewe"...haahaahah mchunguze kwanza uone je, ana njuguyugu?,,,kama anazo hama nyumba tu atakusumbua sana
 
Back
Top Bottom