Recent content by mtu mwembamba

  1. mtu mwembamba

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kuwa mvumilivu kuna mdogo wnagu moja kapata saa nane
  2. mtu mwembamba

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Bata bila pesa mkuu?
  3. mtu mwembamba

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Na wewe ni fala siukaandike haya kwenye mtandao wa mama enu, mkishalipwa 7k mnaonaga wengine hawastaili kutoa mawazo yao
  4. mtu mwembamba

    Naomba muongozo kwa waliowahi kuoa/kuposa toka usambaani

    Mk Mkuu nilituma wazee wakaenda wakazungumza nao, nikalipa fine maana alikuwa na ujauzito kisha posa na mahari nikachukua jiko langu sijutii kuoa huko nimepata mke anayenichukulia kama mtoto wake nikosapo. Nilifunga ndoa 2019 May so hadi mwaka huu tuna miaka mitano ya ndoa tukiwa na watoto...
  5. mtu mwembamba

    Mambo ya long weekend

    Jisogeze Riverside mzee
Back
Top Bottom