Mk
Mkuu nilituma wazee wakaenda wakazungumza nao, nikalipa fine maana alikuwa na ujauzito kisha posa na mahari nikachukua jiko langu sijutii kuoa huko nimepata mke anayenichukulia kama mtoto wake nikosapo.
Nilifunga ndoa 2019 May so hadi mwaka huu tuna miaka mitano ya ndoa tukiwa na watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.