Recent content by mtu bati

  1. M

    Kozi gani nzuri anaweza kusoma mtu aliyesoma combination ya EGM?

    Mkuu hii economics and finance inapatikana vyuo gan hapa Tanzania?
  2. M

    Kozi gani nzuri anaweza kusoma mtu aliyesoma combination ya EGM?

    Nina mdogo wangu kamaliza form 6 amesoma EGM, anataka ajiunge na chuo kikuu lakin kozi Bado inamtatiza. Waliosoma hiii kozi naomben ushauri kidogo kwamba anaweza akasoma kozi gan ambayo inaweza ikawa at least nzuri kwake? Naombeni ushauri, alipata Division 2 ya point 10
  3. M

    Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

    Dawa gan ya miti shamba inaweza kutibu bells palsy's?
  4. M

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nani huyu?
  5. M

    Natafuta kazi

    Niko Arusha, namtafutia kazi mdogo wangu ya kiwandani Au hata kuuza duka. Mimi ndo first born ila yeye kamaliza form 4. Kama kaka mkubwa nafanya kinachohitajika. Kakaa nyumba na malalamiko tu. najitahid nimtafutie Cha kifanya. Nawasilisha.
  6. M

    Nimempa mpenzi wangu laki moja ya kununua simu, kakasirika na kususa

    Mkuu mambo huwa yanabadilika. Matatizo yanakuja ghafla. Nikipata dharura ningefanya je?
Back
Top Bottom