Nina mdogo wangu kamaliza form 6 amesoma EGM, anataka ajiunge na chuo kikuu lakin kozi Bado inamtatiza. Waliosoma hiii kozi naomben ushauri kidogo kwamba anaweza akasoma kozi gan ambayo inaweza ikawa at least nzuri kwake?
Naombeni ushauri, alipata Division 2 ya point 10
Niko Arusha, namtafutia kazi mdogo wangu ya kiwandani Au hata kuuza duka.
Mimi ndo first born ila yeye kamaliza form 4.
Kama kaka mkubwa nafanya kinachohitajika.
Kakaa nyumba na malalamiko tu. najitahid nimtafutie Cha kifanya.
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.