Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,354
- 23,255
Kasema alipata imejensi ile laki nyingine aliyoahidi ikapotelea huko kabakiwa na hii moja iliyokataliwa
JF haichoshi wallahi!
yaani kwa Comments hizi lazima amnyime
inauma ulikua unatarajia hela halafu hupati, huwa kuna kauli mimi naipenda usitarajie au kupigia hesabu hela ya kupewa