Nina mdogo wangu kamaliza form 6 amesoma EGM, anataka ajiunge na chuo kikuu lakin kozi Bado inamtatiza. Waliosoma hiii kozi naomben ushauri kidogo kwamba anaweza akasoma kozi gan ambayo inaweza ikawa at least nzuri kwake?
Naombeni ushauri, alipata Division 2 ya point 10
Naombeni ushauri, alipata Division 2 ya point 10