- Thread starter
- #121
Wa 20Aisee!!? Ndio dem wako wa kwanza?
Wa 20Aisee!!? Ndio dem wako wa kwanza?
Either unaupungufu sehemu, au wewe bado ni mtoto!Ni mpenzi wangu, aliniomba pesa ya kununua simu. Nikamwambia Sina kwa muda ule, Nikamwambia tuangalie baadae kidogo. Alininunua simu na akasema ananunua ila kachukua hela kwa mama yake tutarudisha Nikamwambia sawa. Alisema alichukua laki mbili. Nikamuongeza 50 akanunua simu.
Sasa nilipata dharura kidogo hela ikafanya mambo mengine. Ilivyofika siku ya kumpa Ile laki mbili nikawa Sina laki mbili Nina laki. Nikamuelewesha nimepata emergency. Naomba tulipe laki then baadae tulipe laki akamind. Akazira akasema hataki Tena.
Nikaongea naye, wap, akasema hatak maana natoa promise za uongo. Nimembembeleza lakin wap...kazira, wakuu huyu nimfanye je?
Unambembelezaa Mwanamke umhonge hela yako??? Hivi ni utahiraa au kulogwaaa.... Yani mimi ningeshukuru kwanza siwezi fanya utopoloo wa kumnunulia simu mwanamke kisa tu nadate nae..
Tatizo halipo kwa mwanamke taizo lipo kwake huyu mleta mada hayupo sawa anahitaji ushauri au hata kujifunza mahusiano na stage zake kama , mapenzi tu, uchumba ndoa ...Teh teh teh anakataa heeeeela!!!. Tena ya kiasi kikubwa ivyo. Apo huna kitu Mzee, badili mwanamke chap, la sivyo atakusumbua Sana.
Watu wengine msiwaweke kwenye kundi , wanaume tumegawanyika ! 😀Wanaume wanaenda wanaisha,nikamwambia hela sina kwa sasa akasema ameazima kwa mama yake
Huko kote ni kubembeleza mbunye ama?
Visa vyako vinakinzana na hii bcoz wewe huachi unaatamia unachukia na kusamehe fasta unarudi tenaUyo angelikutana na wazoefu,
Iyo ndo ingelikua tiketi na sababu rasmi ya kutokuonja thumni ya yako mpk anaingia kaburini maana always pesa haizikataliwi. Hate iwe ndogo Kia's gani.
Kabisa yaani.Neno ubarikiwe Mwanangu lina baraka kuliko Asante baby
Ni mpenzi wangu, aliniomba pesa ya kununua simu. Nikamwambia Sina kwa muda ule, Nikamwambia tuangalie baadae kidogo. Alininunua simu na akasema ananunua ila kachukua hela kwa mama yake tutarudisha Nikamwambia sawa. Alisema alichukua laki mbili. Nikamuongeza 50 akanunua simu.
Sasa nilipata dharura kidogo hela ikafanya mambo mengine. Ilivyofika siku ya kumpa Ile laki mbili nikawa Sina laki mbili Nina laki. Nikamuelewesha nimepata emergency. Naomba tulipe laki then baadae tulipe laki akamind. Akazira akasema hataki Tena.
Nikaongea naye, wap, akasema hatak maana natoa promise za uongo. Nimembembeleza lakin wap...kazira, wakuu huyu nimfanye je?
Pisi kali mwenye utoto wa kazi gani?Chukua huu ushauri. Mamako atakushukuru na kukuombea sana ufanikiwe tena na tena. Na machozi ya furaha juu...na kweli utabarikiwa sana na mfuko wako hautapungukiwa.
Ila najua hiyo hela utairudisha tu kwa huyo mdangaji - hasa kama ni pisi kali. Wanaume sisi yaani basi tu
Demu tu mkuuNi mpenz au mke au demu mnk Nina majibu ya kikatili san
we jamaa unajifanyaga mtabe mno, ukiwa na yule shem unanywea kama piriton. Unakua km kondoo vile, huna kauli na hujiwezi
Kama ni wa 20 lakin bado una akili kama hizi Pole sana.Wa 20
Chukua huu ushauri. Mamako atakushukuru na kukuombea sana ufanikiwe tena na tena. Na machozi ya furaha juu...na kweli utabarikiwa sana na mfuko wako hautapungukiwa.
Ila najua hiyo hela utairudisha tu kwa huyo mdangaji - hasa kama ni pisi kali. Wanaume sisi yaani basi tu
Mkuu mambo huwa yanabadilika. Matatizo yanakuja ghafla. Nikipata dharura ningefanya je?Kwanza bro kuwa gentlomen kama huna uwezo ya nn kuahidi kitu ambacho huna ww ungemuanbia uchumi wangu haupo vzr ntakusaidia laki ungepungukiwa nn tatizo lenu vijana mauongo mmezidi mara kuna pesa nasikiluzia shez kabisa
Mkojo wa ubongo auWangu kaingia Dispensary kasema laki tano kupima mkojo