habari
Naomba msaada wa movie au series nzuri inayohusu maisha ya utafutaji hasa mali(utajiri). Ambayo muhusika anatoka from bottom to top katika utafutaji yaani anatoka katika maisha ya ufukara na kufanikiwa ikiwa pamoja na kupata changamoto nyingi sana.
NB: sihitaji mniwekee seminar za...
Kwa sasa kuna vijana wa CHADEMA wamepamba sana majukwaa mitandaoni kuwashambulia ACT akiwemo kiongozi mkuu wa chama hicho Zitto Kabwe.
Mapema baada ya CCM kushinda uchaguzi na kuendeleza ubabe wao wa siasa za bongo, CHADEMA wamekosa mbadala wa aina ya siasa zao na hivyo kuanza kupotea(kufa)...
daaah cha ajabu umeikatikia sana kiuno na kuichezea na ulikuwa ukiililia huku ukioimba kila siku.! na leo eti unajuta.? Ingelikuwa mara moja sawa...sasa miaka miwili kumbe uliipenda mwenyewe
Kwasasa naona ni kinyume.....! Yani unapiga kazi hadi jasho lifike kiunoni ndio upate pesa tena madafu....!! vijana tumechakaaa mitaani...! kila kukicha afadhali ya jana....ajira ni kitendawili kisicho na majibu....! mwenye degree sasa ni mpiga debe ..! Is this how fiscal policy is? ooooh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.