Je taarifa hii ya ajira ni ya kweli?

Je taarifa hii ya ajira ni ya kweli?

mansolata

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2016
Posts
502
Reaction score
319
Habar wana jf.
Kunataarifa inazagaa kwamba kuna ajira za Ualimu zimetoka leo hii je kunaukweli juu ya hili?
Wajuzi mtujuze tafathali.
 
Habar wana jf.
Kunataarifa inazagaa kwamba kuna ajira za Ualimu zimetoka leo hii je kunaukweli juu ya hili?
Wajuzi mtujuze tafathali.
Ukwel utabaki pale pale...mda utasema..kila mwez huu walimu wanapewa ndoo..
 
ITV walikua bize na Mkutano wa CCM
Hapo jua bado mpaka watoke uko watawaita press/media iliwatangaze...tena kama ni ualimu washule za msingi kabla Xmas wanapangia kwahiyo vuta subira kdgo
 
Ngoja mpate ajira mtuachie magep kdg ya tempo huku kitaa mana na nyie mnatubania, watu elf 11 tena kwa sayansi si haba
 
Back
Top Bottom