mimi namsifu sana huyu dada ni mtu amesoma vizuri,ni mchapa kazi nazaidi ni mvumilivu sana na hakati tamaa na hana kinyongo,nilimshuhudia wakati anagombea nyadhifa za chama. big up shyrose. ninasikitika kwa wale wote wanaokuchafua ,waache na wakome
kashfa ya mr jairo ya uchangishaji wa sh billion moja ili kugharimia uwasilishwaji wa bajeti ,jambo hili linatatiza sana. uchunguzi wa kina ufanywe ni kwa nini mr jairo alifikia hatua hiyo. wabunge wa ccm mshikamano mlioonyesha kwenye makadirio ya bajeti ya wizara ya nishati kama ingekuwa kwa...
MH RAIS- Tatizo la umeme ni kubwa sana ,uchumi wa nchi unashuka,elimu inashuka ,umaskini unazidi kuongezeka.ushauri wangu fanya maamuzi magumu kopeni fedha kwenye mabenki ya ndani na mnunue jenereta ili kutatua tatizo,mh rais ukifanya hivi utajijengea heshima na imani kwa wananchi
omr upende usipende nchi tunamkabidhi dr wa ukweli dr slaa,hakuna mwenye ubishi dr ni mpambanaji na ni kiboko cha mafisadi na hata kuondoka kwa ra ,dr slaa amechangia sana. Omr kama huna hoja kaa kimya nasio kutoa matusi
Hata mimi huwa napata shida sana na radio ya clouds ,kuna siku walimshambulia mkurugenzi wa Tanesco tena kwa jina kwa maneno ya kejeli kuhusiana na mgao wa umeme,kiasi kwamba hiyo redio ingeweza hata kushtakiwa.TATIZO JINGINE LA CLOUDS LUGHA WANAYOTANGAZIA SIO NZURI,NAOMBA WAJIREKEBISHE
huyu shibuda ni mamluki na alijiunga cdm kwa ajili ya kukipasua ,haiwezekani ukawa cdm na hapo hapo unapinga sera za chama ,hii haikubaliki. kamati kuu shughulikieni suala hili na ikibidi shibuda afukuzwe chama
.
kubenea ili heshima iendelee kuwepo tafadhali usigombee ubunge ,mimi naona kwenye mwana Halisi unafanya vizuri zaidi kwa kutuelimisha kuhusu uozo wa ufisadi unaotokea nchi hii
inasikitisha sana wabunge kulala bungeni ni kwasababu ya goodtime wanayopata posho nyingi na mshahara mkubwa WABUNGE ACHENI KULALA TATUENI MATATIZO YA WANANCHI
mh nape zamani nilikuwa nakuona mzalendo wa kweli na hasa ulipofichua mkataba tata wa ujenzi wa jengo jipya la umoja wa vijana na bila uoga ulimshambulia mh lowas kwa kumwuhusisha na ufisadi wa mradi huo nasikitika sana unaharibu cv yako kwa kutukana watu kama dr wa ukweli DR SLAa ,jitahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.