Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,033
kwani kubenea si alitaka kugombea mafia 2010, hatutaki wakimbizi wa kisiasa : mara slaa mara nani sijui waacheni watu wa igunga wamchague kijana wao mwenye uchungu na jimbo lao!
mkuu source plsNakwambia anagombea. Jana alikuwa na kikao kirefu na Membe na Msekwa. CCM wanaona njia pekee ya kushinda jimbo la Igunga ni kumuweka Kubenea. Wamemhakikishia vikao vya chama vitampitisha. Lakini mkakati mzima unaonekana kutaka kumyamazisha yeye na gazeti lake. Wanaamini kuwa akijitosa katika mbio za ubunge Igunga, basi hataweza tena kuwachapa.
naona unauliza makalio wakati umeshika mkia.kwani NEC ndio magamba?
utachanganyikiwa zaidi ukisikia Kubenea mgombea kupitia TADEAmnatuchanganya sasa mara ccm mara cdm kipi ni kipi sasa..
.Mh Saidi S Kubenea Mbunge mteule wa Jimbo la Igunga CHADEMA
Hujakosea......umechelewa sana kuamini,wenzako walishaanza zamani sana.Siku nyingine uwe unawahi
Mtambo ameuza mengi, amenunuliwa kubenea na RA??? Hapo vipi? Umeelewa sasa?TUYUKU- Acha kupakazia mwenzako. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Mtambo ule Kubenea ameuziwa na Mengi. Na mpaka sasa upo pale IPP Mikocheni, hajauondoa. Acheni kumchafua kwa mambo yasiyokuwa na kichwa wala miguu.