Ufisadi wa Nape huu hapa

Ufisadi wa Nape huu hapa

Msemahovyo, nilishaacha ukuu WA wilaya DC, SIKU TU NILIPOTEULIWA KUWA KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENEZI NILIACHA U DC, GARI YA SERIKALI NA STAHILI ZOTE ZA DC IKIWEMO NYUMBA NA OFICE. ACHILIA MBALI MSHAHARA, TENA PESA ZANGU ZA KUACHA KAZI SIJALIPWA MPAKA LEO, HII ILIKUWA PROPAGANDA YA PADRI MMOJA NILIPOULIZA MSHAHARA/POSHO YAKE.....SIJAWAHI KUPOKEA MISHAHARA MIWILI.
mh nape zamani nilikuwa nakuona mzalendo wa kweli na hasa ulipofichua mkataba tata wa ujenzi wa jengo jipya la umoja wa vijana na bila uoga ulimshambulia mh lowas kwa kumwuhusisha na ufisadi wa mradi huo nasikitika sana unaharibu cv yako kwa kutukana watu kama dr wa ukweli DR SLAa ,jitahidi kutumia lugha za kiungwana ,unpoongea kweny radio au tv kuna wtu wengi wanakuona unavyojishushia hadhi, jaribu kujibu hoja na sio kumshambuli mtu
 
Hivi Nape si tukianza kukuvua nguo hapa utasalimika kweli?? haya yule dada(Mtz) uliyempa mimba India ukamsaliti unadhani ulitenda wema??na ile mimba yule dada aliitoa baada ya kuona umesepa na kuitaliki!! Hizi siasa hazina tija kamanda!!

kumbe wewe unawapa mimba wasichana wasio na uwezo na kuwakimbia??hivi wewe nape unathubutu kufanyakitendo kama hicho???tutalifanyia kazi
 
Nape thanks 4 the quick reply, usichoke kuwajibu wazushi kama hawa.
JF kweli imevamiwa, mtu anaanzisha topic ya kizushi akijua wako wenzake watasupport.
Na watu kama hawa hata kura huwa hawapigi.
CDM mkiendelea hivi hamtakaa mpate uongozi wa nchi hii.
Ninakerwa sana na mambo ya kizushi ya wanaojiita wana CDM.
Mtaishia maandamano tu ukija uchaguzi mnakula mweleka na siku zinakwenda hivo, mpaka kina Mbowe watakwisha kama Mrema.
Acheni mambo ya kuzusha
Wewe ndo umefilisika kweli kifikira. Kila anayemkosoa Nape au CCM unaona ni CHADEMA tu. Ni wapi na kwa namna gani mimi nimetaja CHADEMA au Dr Slaa. Nini kilichomsukuma Nape kuleta mambo ya udini dhidi ya CHADEMA wakati mimi sijataja popote kwamba mimi nipo for CHADEMA? Kwa taarifa yako, nina kadi ya CCM tangu mwaka 2000, na nimeshailipia kadi yangu hadi mwaka 2008 nilipoamua kuachana nayo baada ya kutoona faida ya kuilipia hiyo kadi ya CCM. Na hadi leo sijawahi jiunga na chama chochote cha siasa na wala sifagilii chama chochote zaidi ya mabadiliko ya kweli ya nchi yangu pendwa Tanzania. Ninawachukia watu wanaoiibia nchi yangu wakiwemo akina Nape ndiyo maana nimeleta hii thread hapa. Kama unataka kujipendekeza kwa Nape, jipendekeze kivyako, usituletee habari za chadema hapa.
 
Kutaja "Padri mmoja" sio kuatack personality? Kum§n^n¥ zako Nape!
 
Nape, ulichoksea/tibua ktk thread yako ya mwanzo ni kutumia neno PADRI! Wewe hata kama wakikutukana kaa kimya, iga mfano wa Dr JK, Zitto, Dr Slaa, ulishasikia wanatukana au kuita majina ya kejeli kama wewe ulivyofanya kuita eti PADRI MMOJA! Kumbuka nafasi yako sasa ni nyeti usiwe kama mzee wetu Makamba, jiheshimu kwanza ndiyo vijana tutakuwa na hamu ya kukusikiliza, zaidi watakusikiliza hao wanafiki wasiojua kufikiria pande mbili!
Sio hilo tu bali Nape kama yalivyo magamba mengine ni mnafiki! Kama angekuwa muungwana angemsifu Dr wa ukweli Slaa kwa kuwawezesha CCM kujaribu kuvua magamba badala ya kumponda tangu alipoibua kashfa nyingi za ufisadi! Kiongozi mzuri ni yule anayetaja hata mazuri ya hasimu wake kama Nyerere aliposifia Katiba ya CHADEMA wakati yeye alikuwa ni wa CCM!
 
Heee, jamani kwani kama siyo nape nani angewataja mapacha watatu na kuongeza pacha wengine, walau alichofanya hata kama ni kidogo si mkitambue tu kwanza, ni mawazo tu.
 
Msema hovyo,muda ulioutumia kuandika utumbo bila research ugetumia kuoshavyomba kwenu ugekuwa mtu wa maana sana.wana jf hawako hivyo.Hayamaneno unayatowa mtaani nakutuadikia sisi.kabla hujasema jambo fanya research na utupe details siyo kulopoka tu.naukipewa pesa kula,siyolazima uandike kama huna habari ya uhakika.Haiingii hakirini hata kidogo kumlinganisha Nape na Rostam kisa mshahara tena wa u Dc abao hata nape hapokei,poleka majungu kwingine siyo jf.
Cc Faiza foxy
 
Msema hovyo,muda ulioutumia kuandika utumbo bila research ugetumia kuoshavyomba kwenu ugekuwa mtu wa maana sana.wana jf hawako hivyo.Hayamaneno unayatowa mtaani nakutuadikia sisi.kabla hujasema jambo fanya research na utupe details siyo kulopoka tu.naukipewa pesa kula,siyolazima uandike kama huna habari ya uhakika.Haiingii hakirini hata kidogo kumlinganisha Nape na Rostam kisa mshahara tena wa u Dc abao hata nape hapokei,poleka majungu kwingine siyo jf.
Huyu ndo makonda anaandika hivi? Naanza kuamini
 
Tutajenga viwanda kweli? kama tunaanza kufukua makaburi
 
fc667c25bf182752075d15d07c7c3757.jpg



Samahani lakini nimekutana nayo humu jf
 
Namna ya uandishi inaonesha what he scored. Bahati mbaya ndio wanaoongoza wasomi, pathetic.
 
Back
Top Bottom