Na Igunga italisha Tanzania nzima kutokana na mazao watakayo kuwa nayo.Dr Slaa, tunakuomba ukagombee Igunga tutakufanyia kampeni ushinde ubunge, ili tuwe tunakuja Igunga kununua Saruji, Sh500 kwa mfuko mmoja
Na Igunga italisha Tanzania nzima kutokana na mazao watakayo kuwa nayo.Dr Slaa, tunakuomba ukagombee Igunga tutakufanyia kampeni ushinde ubunge, ili tuwe tunakuja Igunga kununua Saruji, Sh500 kwa mfuko mmoja
<br /><br />Dr Slaa, tunakuomba ukagombee Igunga tutakufanyia kampeni ushinde ubunge, ili tuwe tunakuja Igunga kununua Saruji, Sh500 kwa mfuko moja
Dr Slaa, tunakuomba ukagombee Igunga tutakufanyia kampeni ushinde ubunge, ili tuwe tunakuja Igunga kununua Saruji, Sh500 kwa mfuko mmoja
<br />Kwani ni lini alisema atagombea? kwa nini wasimuulize Makamba kama atagombea huko au Batilda buriani? au Ibrahimu Lipumba ambae ndio anatoka mkoa huo? huu unaitwa unafki.
Salma Kikwete anafaa zaidi maana anapenda madaraka.Napendekeza akagombee Josephine Mushumbusi
<br />Mtu mwenye akili timamu hawezi kumfananisha Dr Slaa na Mrema! <br />
Mrema unaweza kumfananisha na Makamba sr!
Mkuu, hilo swali ukiniuliza mimi utakuwa unanionea bure! Mbona ukumuuliza Lema wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu, alisema wana Arusha mkinichagua kuwa mbunge wenu tajenga Machinga Complex mbili, na nitajenga Skyover sijui alikuwa anamahanisha nini&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><br />
Haya bana!mfuko mmoja wa saruji sh. mia tano?are you serious?Hkwani siku hizi wabunge wanakusanya kodi.
wewe maKastuka! kaona huko ni kwenda kujiadhirisha, hakubaliki na sababu ziko wazi kabisa.
<br />hata akigombea atashindwa. dume la mbegu alikuwa mrema tu mwenye uwezo wa kushinda popote.<br />
<br />
mrema alikuwa kiboko. akaenda kugombea kule kwa mafundamentalists temeke na bado kaibuka kidedea.<br />
<br />
slaa hayawezi ya baba mrema. aendelee kuchakachua ruzuku makao makuu na kukwepa kulipa kodi.
wewe ma
ma una kidomo sana ,hushindwi,basi kagombee wewe
Yuko nyumbani analea mtoto, kama wewe huna mtoto kivyako.Napendekeza akagombee Josephine Mushumbusi
<br />Napendekeza akagombee Josephine Mushumbusi
<br />Dr Slaa, tunakuomba ukagombee Igunga tutakufanyia kampeni ushinde ubunge, ili tuwe tunakuja Igunga kununua Saruji, Sh500 kwa mfuko mmoja
<br />hapana asigombee huko.
hata akigombea atashindwa. dume la mbegu alikuwa mrema tu mwenye uwezo wa kushinda popote.
mrema alikuwa kiboko. akaenda kugombea kule kwa mafundamentalists temeke na bado kaibuka kidedea.
slaa hayawezi ya baba mrema. aendelee kuchakachua ruzuku makao makuu na kukwepa kulipa kodi.
<br /> <br / wananch tumemwomba asigombee ingungaasubiri kdg tu atakuwa rais kwani kikwete hn mda mrefu madarakani wl haitofika 2015 ktkn na anavyoendesha nch kihuni, kwa HIYARI YAKE ATAJIVUA GAMBAKastuka! kaona huko ni kwenda kujiadhirisha, hakubaliki na sababu ziko wazi kabisa.
Hizo asilimia ni za tume yenu magamba sio kura zilizopigwa! Slaa ni rais wa moyoni hachafukislaa asilimia 26 ya kura mrema asilimia 28. hata taahira anaweza kuona tofauti hiyo.